MAPENZI YA FACEBOOK
DAY 1-Mamboo
DAY 2-Mambo Dear.
DAY 3-Umeamkaje Baby
DAY 4-Babe kuna kitu ntakuomba
DAY 5-Baby can you help me with 200,000,nna shida ntakurudishia kabla ya Ijumaa.Mwanafunzi huyo,na hamjawahi kuonana...Laki 2,airudishe ndani ya mwezi,hata UPATU haizai fasta hivi..Ukijitusu umeumia.Unauchuna
DAY 6-Babe ulipata meseji yangu?Unapiga kimya
DAY 7 Nishagundua we Mwanaume suruali,hata laki 2 huna...We unayo??Ulidhani Mi Mwanaume Sketi?? Mnaonana humu, Mnapendana humu,Mnaachana humuhumu,tena kwa Kashfa.. Yeu bora urudi tu,maana watoto wetu hawana wa kuwalea, wanaume na wanawake wote akili kushney
0 comments: