Kama haumo humo jua wewe ulikuwa kilaza. Kwi! Kwi! Kwi!

13:48:00 Unknown 0 Comments


KAMA HUKUPITA KATIKA MOJA YA SHULE HIZI JUA WEWE NI KILAZA.
Mzumbe Secondary
Ilboru Secondary
Kibaha Secondary
Tabora Boys Secondary
Tabora Girls Secondary
Msalato Secondary
Kilakala Secondary
Pugu Secondary
Minaki Secondary
Azania Secondary
Tosamaganga Secondary
Mkwawa Secondary (Casino)
Milambo Secondary
Mazengo Secondary
Tanga Technical Secondary
Galanos Secondary
Magamba Secondary
Kibiti Secondary
Shycom
Kigoma Secondary
Sengerema Secondary
Kantalamba Secondary
Jangwani Secondary
Malangali Secondary
Forodhani Secondary
Nsumba Secondary
Bwiru Boys Technical
Bwiru Girls Secondary
Nganza Secondary
Mwanza Secondary
Arusha Secondary
Umbwe Secondary
Machame Girls
Weruweru Girls
Moshi Technical
Iyunga Technical
Ifunda Technical
Kigonsera Secondary
Songea Boys Secondary
Bihawana Secondary
Mwenge Secondary
Shybush Secondary
Mwanza Secondary
Mara Secondary
Musoma Alliance
Tarime Secondary
Ihungo Sekondary
Usagara Secondary
Old Moshi Secondary
Kwiro Secondary
Same Secondary
Tambaza Secondary
Kama haumo humo jua wewe ulikuwa kilaza. Kwi! Kwi! Kwi!

0 comments:

Ubunifu mtamu tamu

11:00:00 Unknown 0 Comments


0 comments:

BAADHI ya wanawake huolewa kwa sababu zifuatazo

09:04:00 Unknown 0 Comments


1. Kukataliwa na aliyekuwa akimtaka
2. Kuondoa mkosi
3. Kujionesha kwa wanawake wenzie
4. Kujaribu maisha ya ndoa
5. Kuwania kitu fulani kwa mume au kazini kwake
6. Kukwepa maisha ya kwao
7. Kumjaribu mwanaume kama anajua mambo
8. Kuiga (kama alivyoolewa fulani)
9. Kumkomoa zilipendwa wake na
10. Kutengeneza historia
Ndoa za namna hii huwa hazidumu na wanawake
wa aina hiyo hata mnapogombana huwa
wanarudi makwao. Ndoa haijaribiwi-Ndoa ni
maisha

0 comments:

VITU VYA MSINGI KUZINGATIA KATIKA MAISHA YAKO

09:02:00 Unknown 0 Comments


1. Kuwa karibu na wazazi wako na familia yako pia
2. Kuwa makini na kila kitu katika maisha yako
3. Kuwa na kiu ya kuipenda afya yako,kufanya kazi kwa bidii, kula na kuvaaa vyema
4. Usijihusishe na mambo yasiyo na faida katika maisha yako
5. Jali thamani yako machoni mwa watu hata kama unapitia katika nyakati ngumu maishani mwako.
6. Usiuabudu umbea
7. Kuwa makini na marafiki unaowachagua kuwa nao maishani
8. Usicheze na muda kwa kuamini kesho ipo
9. Kuwa halisi wakati wa kupanga plan zako na hakikisha kila mara unazipitia kuona kama uko sahihi
10. Kuwa mwerevu kwa kuishi vyema na jamii inayokuzunguka
11. Andaa mipango inayoendana na wakati uliopo.
12. Maliza kazi zako kwa muda muafaka
13. Usilale kwa kuchelewa ukijitetea kuwa unamalizia kazi, panga muda wako kwa kufanya kila jambo kwa wakati wake
14. Hakikisha unatatua kwa busara, hekima na uvumilivu mkubwa kila tatizo linalokukabili katika maisha yako
15. Usiwe mtu wa lawama kila mara kwa wakuzungukao
16. Jitahidi kuwa mtu wa kuyakubali makosa yako na sio kumrushia mwenzako
17. Heshimu kila anayekuzunguka pamoja na changamoto zao

0 comments:

TABIA SUGU ZA WANAUME WA AFRICA

09:01:00 Unknown 0 Comments


1. Ukali 
2. Ulevi 
3.Kuchelewa kurudi nyumbani
4. Kupenda marafiki kuliko familia
5. Umalaya
6. Kuficha mambo yao ya maendeleo
7. Kupenda hawara zao kuliko mke
8. Ubabe
9. Kusafiri bila kuaga kwa wake zao zaidi ya kuaga kwa mahawara zao
11. Uchoyo
12. Bajeti kali nyumbani kwenye baa mmhh!?
13. Kusaidia watu baki kuliko ndugu zao
14.Kosa dogo ndani ya nyumba kelele nyingi
15. Kunuka miguu
16. Hupenda kutoa 

0 comments:

UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAISHI MAISHA YA RAHA SANA AISEE

08:59:00 Unknown 0 Comments


1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia mesaj Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea

0 comments:

Kwa kila jambo lililokuwa likichelewa katika maisha yako kuanzia sasa litaanza kwenda haraka nawe utashangaa

08:58:00 Unknown 0 Comments

Baba mmoja alikuwa akila chakula kwa furaha na mke wake ambaye alikuwa siku za mwisho akijitazamia kabla ya kujifungua mtoto wao wa kwanza.
Mara mama akaanza kulalalamika maumivu ya kichwa na baba akaita gari na wakiwa njiani kuelekea hospotali yule mama akafariki.
walipofika hospitali baba akaomba mama afanyiwe upasuaji wa haraka ili waone kama mtoto aliyekuwa tumboni angeweza kupona.
Baada ya upasuaji wa haraka mtoto alitoka akiwa mzima na madaktari wakiwa wanashangaa baba aliendelea kuomba kwa
Mungu akisema;
" Eeh Mungu kama umeweza kumwokoa mtoto huyu naamini pia waweza kuurejesha uzima
wa mama yake kwani kimekuwa ni kifo cha ghafla nisichokielewa.
Ikiwa ni mapenzi yako naomba mke wangu kipenzi apone na kumshuhudia mwanae aliyemgojea kwa siku nyingi na hamu tele.
Ninaomba nikiamini kuwa wewe ni Mungu wa miujiza na mwenye huruma kwa sisi watoto wako AMEN"
Jopo la madaktari waliokuwa wakimsaidia yule mama wakaanza kushangaa kwa mbali mama
mapigo ya moyo yakaanza kurudi na baada ya jitihada mama alipona na kila mtu mle ndani aliushangaa ule muujiza huku wakiwa na
mshtuko wakamshukuru Mungu.
Sasa naomba nawe usikie maneno haya kwa makini!!!!!!
*Mungu akupe wepesi, amani na furaha kwa kila tatizo litakaloyasibu maisha yako
*Kamwe usichoke kumwomba Mungu hata kwa jambo unaloliona machoni mwako haliwezekani, kwani kwa Mungu hakuna
linaloshindikana
*Kuanzia leo katika kila jambo uliloliona kuwa gumu kwako litakuja kuwa rahisi na liwezekanalo
*Kwa kila jambo lililokuwa likichelewa katika maisha yako kuanzia sasa litaanza kwenda
haraka nawe utashangaa ukuu wa Mungu.
*Utafurahia mafanikio ya kila jambo na ukishuhudia miujiza katika maisha tyako.
Comment AMEN na kisha share kama unaamini katika miujiza ya Mungu kwenye maisha yako.
Ninayaomba haya katika lile jina kuu lipitalo majina yote

0 comments:

OBAMA Visit to Kenya : Prostitutes To Offer Free S£X in Kisumu on July 24-26 - Here Are Conditions

12:42:00 Unknown 0 Comments


US President Barrack Obama’s visit to Kenya this month has been welcomed with a lot of madness in Kisumu City with city prostitutes now planning to offer free services to clients to celebrate Obama’s visit to his fatherland.

Addressing journalists on Monday night, the head of commercial s£x workers in Kisumu, Faith Onyango, said the city wants to attract tourists by offering free s£x to their clients for the three days Obama will be in Kenya.

Obama, whose father’s was born near the city, is expected to visit Kenya on July 24 -26 to attend the Global Entrepreneurship Summit (GES) in Nairobi.

“We will offer visitors free services to celebrate Obama’s homecoming,” Faith said adding that the city has over 1,800 prostitutes who are ready to unleash their "goodies" for free in those three days.

However, Faith gave some conditions that men should meet in order to romp with beauties from the lakeside town.

“Every man must have a condom in order to get rid of STDs. Those who are addicted to having sex Nyama kwa Nyama (without a condom) should keep off Kisumu City,” Faith warned.

0 comments:

Kamwe sitaisahau hii

07:24:00 Unknown 0 Comments

Nilichungulia kupitia ule mwanya pale dirishani na kuona gari moja aina ya verosa ikiingia pale hostel na robo saa baadae mpenzi wangu Vivian akiwa na rafiki yake wa karibu Nancy wakaingia katika lile gari na likaondoka.
Ilinuchukua zaidi ya saa kufikiri na baadae nikafuta machozi ambayo yalianza kuninyemelea na nikaondoka zangu pale na kwenda zangu mitaani nikiacha baaadhi ya mabinti wankinong’ona kwa chinichini kuwa bila hela huwezi miliki mtoto mzuri mjini.
Niliumia sana nikafikiri miaka miwili tuliyokaa pamoja na jinsi alivyokuwa akitumia fedha zangu na sasa eti kwa kuwa nimefulia ndio anaanza kunidharau na kunidhalilisha hivi.. Na kama vipi si angekuwa mkweli tukaachana?
Nikaanza kuona hasira zinanizidia na kila siku napunguza spidi ya darasani jambo amablo hata wenzangu wakanishauri niachane nalo. Kweli niliachana nalo ingawa kila nilipomwona Vivian akiingia kwenye lile gari la yule mzungu nikaumia sana.
Jumapili moja nikamwomba Nancy aniitie Vivian na kuandaa sehemu moja nikae na kuongea nae kwa masaa kadhaa ingawa neno nililoambulia ni kuwa hajisikii tena kuwa na mimi kwani hana tena mshipa wa upendo juu yangu.
Nikamuuliza kama kuna sehemu nimekukosea niambie kwani nimejitahidi kukupenda atakavyo na tulipendana sana tukiwa na ahadi zetu kibao lakini sasa hapa chuoni kumegeuka kuwa na story moja tu ya mimi na yeye kuachana na yeye akiwa na mme mpya mwenye fedha.
Nikamwomba hata kama nimemkosea na hatataka tuwe tena wapenzi basi tuwe tuu marafiki na huyo jamaa kama inawezekana awe anaonana naye huko nje akija hostel, kwani aondokapo pale hostel hugeuka na kuwa na mada moja ya kuniponda mimi sasa inanipa wakati mgumu.
Akaniangalia toka chini mpaka juu akadai “usiniingilie katika mambo yangu, nitafanya nitakavyo.”
Niliumia kwa kweli na kuanza kufanya utaratibu wa kuhamia mtaani lakini kabla ya kufikia mwisho nikamshirikisha rafiki yangu mmoja.
Akaniambia nisiwe mjinga na kuamua kushindwa kijinga jinga, hivyo akaniambia kama nina kitu chochote ninacho cha kuweza kummwaribia niseme… nikagoma kwani sikuona kama ingekuwa na tija yoyote zaidi ya kuniletea madhara.
Siku chache baadae rafiki yangu akaja na wazo kuwa kwa nini tusimwaribie Vivian ili nae aumie kama navyoumia mimi?
Maana muda mwingi nilikuwa mnyonge na ile hali ikawa ikimfanya rafiki yangu kunichukia sana.
Wazo lake likawa ni kama mimi nilishawahi kumpiga picha yoyote vivian akiwa uchi au yeye kama anazo kwenye simu. Mimi sikuwanazo kwa kuwa sikuwa napenda kukaa na picha kama hizo kwenye simu au hata kuthubutu kumpiga picha hizo.
Kilichobakia ikawa ni kumtumia rafiki yake Nancy ambaye akaniambia kuwa picha zipo. Nikamlipa hela na picha zile nikazihifadhi nikisikilizia maelekezo ya rafiki yangu.
Rafiki yangu akaniambia sasa kitu cha kwanza ni kutengeneza akaunti feki ya fesibuku na kisha kuziweka picha na baada ya hapo zianze kusambaa kutoka kwenye akaunti hiyo na kisha kwend akwenye blogs.
Wazo lile nikalipenda kwani wakati huo ubongo wangu ulitaka kulipa kisasi tuu na kuona Vivian akigalagala huku akilia kwa aibu kama mtoto mdogo, akishindwa kula na hata kuiona shule chungu na hata afukuzwe tu.
Mpango ukakamilika na harakati zikaanza na ninakumbuka ilikuwa ni jumatatu moja majira ya saa nne nikaona mabinti pale hostel wakitoka mbilo kwenda nje..
Sikutaka kwenda maana sishabikihi umbea lakini kelele na mabishano yakazidi na nikaona niende maana kila mtu alikuwa akienda huko.
Kufika pale nikaona watu wamzunguka mtu na nilipojaribu kupenyeza macho nikakuta ni Vivian akiwa kaanguka na ana damu tumboni zikimtoka na kabla ya kujua nini kinaendelea ambulance ikaja na kumchukua na baadhi ya watu wakamshindikiza.
Wazo la kwanza lililonijia nikajua lazima damu zile zitakuwa zimesababishwa na ugomvi kati ya Vivian na yule mzungu wake.
Nikajivuta mpaka chumbani kwangu ambako nikaichukua simu yangu iliyokuwa kwenye chaji na kumpigia rafiki yangu ili kumpa mkanda mzima.
Tukafurahi na kukutana bar moja nje ya hostel na kupata bia zetu tukijua sasa dada ndio moto unamwanzia, labda mzungu kaona zile picha maana zilishaanza kusambaa kwa kasi na akaamua kumpa kipigo cha mbwa mwizi si wajua waungu wengi wanapenda mieleka.
Wakati huo Nancy alikuwa akitokea hospitali na alituona na kuja pale haraka huku akihema na kusema
“mmefanya nini sasa,Vivian kapigiwa simu na baba yake na baadhi ya ndugu kuwa wameona zile picha ….kwani nyie mlimpa nani picha?’
Nikakumbuka kuwa Nancy tulimdanganya kuwa zile picha nitakaa nazo mimi kwani namkumbuka sana Vivian katika kipindi hiki alichonisaliti.
Nancy akaendelea kuongea kuwa Vivian kajichoma kisu cha tumboni ili afe kwani ilikuwa ni aibu kupigiwa simu na ndugu zake wakidai aache shule na arudi nyumbani kwani ni badla ya kusoma anafanya kazi za kikahaba.
“Na pia yeye kakuhisi wewe ndio umefanya hivyo sasa sijui itakuaje wakijua na mimi ndio nilitoa picha hizo??? yaani nimeishiwa nguvu hapa shemeji”, aliongeza maneno hayo Nancy huku akifuta jasho na kuonyesha hali ya kuwa na hofu.
Muda huo zile bia tano nilizoziweka kichwani kwa furaha nikaziona zikiishia kichwani na akili kuja. Nikamuuliza rafiki yangu kaka tufanyeje maana sasa ushahidi unaonyesha kuwa utaonekana au?
Akaniambia wala usijali tulitumia computer ambayo sio yetu hivyo hatutashikwa sisi hata wakifuatilia IP Adress.
Tukiwa tumekaa pale twajadiliana mara tukasikia king’ora cha gari bila kufikiri ni cha gari la polisi au ambulance tulikimbia tukielekea nyuma ya hosteli na kisha kutokomea mtaani.
Nikaanza kuona sasa kama ule uhuru wangu wa mtaani ukinitoka na muda huo zikaanza kuingia message kutoka kwa marafiki zikisema, “kaka umemuua vivian kisa kusambaza picha zake kwenye mitandao”……
Nikaizima simu hiyo na kuwasha simu yangu yenye laini nyingine na ilivyowaka tu ikaingi sms ya VIVIAN iliyotumwa masaa mawli nyuma ikisema,
” NAKUSHUKURU KWANI NAJUA NI WEWE TU ULIYEZITOA PICHA HIZO ILI MIMI NIAIBIKE, NA KAMA KUNA BAYA UNALIPANGA KWANGU BASI LIKURUDIE..ASANTE”
Mungu wangu!!!! nikaona kama aliandika hiiyo basi ni ushahidi tosha wa kuniweka hatiani. nikamwangalia rafiki yangu na Nancy nikawa sina la kusema zaidi ya kulia.
Nancy akasema kuwa anakumbuka simu ziko hostel hivyo tukawahi kwenda kuziangalia ili pengine tufute ule ujumbe, tulifanikiwa kuzikuta na tukafuta ule ujumbe na kisha kufuta picha zote online na kuamini sasa hakuna kesi.
Baadae tukaitwa kwenda ukumbi mkubwa na kuambiwa ya kuwa Viviani alifariki muda mchache baada ya kupelekwa hosptitali kutokana na damu nyingi iliyotoka kwenye jeraha. Na polisi wanaendelea kuchunguza nini kimesababisha vivian kujiua.
Wiki moja baada ya mazishi walikuja jamaa wawili na kunichukua mpaka kituo kikuu cha polisi na kunifanyia mahojiano.. Nikiwa pale nikaonyeshwa picha za VIVIAN na hata zile meseji na moja kwa moja nikaonekana ni mtuhumiwa namba moja.
Machozi yakaanza kunitoka na kujutia uamuzi nilioufanya kwa shinikizo la rafiki yangu na kuwa sasa kesi yote ni yangu.
Nikapandishwa kizimbani na baada ya muda mchache nikagundua kila ndugu na rafiki wameniacha na kwa kuwa nilikuwa sina hata ubavu wa kumweka wakili basi kesi ile ikanikalia kooni.
Siku ya hukumu nikaambiwa kuwa nitahukumiwa kunyongwa kwa kuchomwa sindano yenye sumu.
Siku ilipofika nikaletewa mchungaji nikakaa nae na kuongea nae na kumwambia kuwa, siku hiyo ningependa kabla ya kuuawa nile Ugali na dagaa na kachumbali chakula nilichopendelea sana kula nikiwa na vivian na pia na soda moja ya kopo.
Nikaletewa na baada ya kula nikawekwa kwenye kiti tayari kwa kunyongwa.
Muda ulipotimia nikaongonzwa sala ile ya mwisho na kisha sindano ya sumu ikawa imeruhusiwa nikawa naona maumivu makali sana na kwa mbali mkojo ukaanza kunitoka kwa kasi kuashiria ya kuwa ndio nakata roho kabla ya kushtushwa na kibao kutoka kwa mke wangu kumbe nilikuwa nakojoa kitandani usiku……
Ndoto kama hizi sizipendi..
Duuuuh
Shame on me

Ifanye biashara yako isomwe na wengi kwa kutumia karibumbeya.com wasiliana 0713317171

0 comments:

Hii ni kwa wanaume wanaopenda kudandia mabinti bila kuwafahamu (soma)

22:42:00 Unknown 0 Comments

Guys never jump into bed with any girl u meet. U might not no who u are following or taking to bed


















0 comments:

Maamuzi 10 ya wakati huu ambayo usipoyafanya vizuri baadaye utayajutia:

14:16:00 Unknown 0 Comments

Maamuzi 10 ya wakati huu ambayo usipoyafanya vizuri baadaye utayajutia:


1. Kuishi maisha ambayo huyapendi au huyamudu kutoka moyoni mwako lakini kwa sababu tu unataka kuwafurahisha wale wanaokuzunguka. Unapotumia muda mwingi kutazama wale wanaokuzunguka wanakuonaje na kukuchukuliaje wewe na maisha unayoishi mwisho wake utashindwa kutambua wewe ni nani, uwezo wako na namna gani hasa unapaswa kuishi maisha yako.

2. Kumuacha mtu mwingine akutengenezee ndoto za maisha yako. Mojawapo ya changamoto kubwa kwenye maisha ni kutambua wewe ni nani, uwezo wako na mapungufu yako na kuridhika na kile ulichokitambua. Sehemu muhimu ya kujitambua ni kutopoteza mwelekeo katika kufuata malengo na ndoto zako licha ya vikwazo unavyokutana navyo.

3. Kuwa na marafiki na watu wanaokuzunguka wenye mitazamo hasi kuhusu mambo mengi yanayohusu maisha. Mitazamo hasi ni kama kukata tamaa na kila wakati unaposhindwa kutafuta kitu au mtu wa kumtupia lawama. Mitazamo ya aina hii inaambukiza. Kumbuka kwamba kuwa na marafiki wa aina hii ni uamuzi na si jukumu la lazima na jiweke huru kutoka watu wa sampuli hii. Jitahidi kuzungukwa na watu wenye mitazamo chanya na wavumilivu.

4. Kuwa mbinafsi. Weka jina lako katika mioyo ya watu kwa mema ukitenda yale unayopenda kwenye maisha yako. Unayojitendea mwenyewe hupotea na wewe unapopotea lakini unayowatendea wengine hubaki hata wakati ambao wewe hutakuwepo tena.

5. Kukataa au kuyaepuka mabadiliko. Kama unataka kujua ulipotoka, tazama ulipo sasa hivi na kama unataka kujua unakoelekea tazama matendo yako leo. Njia za zamani zimekufikisha ulipo leo. Jifunze kama njia hizo zinaweza pia kukutoa ulipo leo na kukupeleka unapotaka kesho (katika nyakati mpya, watu wapya na changamoto tofauti). Kama hazitakusaidia zibadilishe.

6. Kukata tamaa mambo yanapokuwa magumu. Tazama kushindwa na kushinda kama matokeo ya mchezo. Hata mambo yanapokuja tofauti na ulivyotegemea jifunze unachoweza na songa mbele. Anayejifunza kitu kila anaposhindwa na kusonga mbele mwisho wake anashinda. Kushinda vita hutokea mapema kabla ya mapigano ya mwisho. Kushinda kunaandaliwa na zile hatua za kuelekea pambano, kushinda hakuandaliwi siku ya pambano lenyewe.

7. Kujaribu kufanya kila kitu kidogo kidogo. Hatuwezi kushinda kila kitu. Chagua kila unachoweza na wekeza nguvu zako kwake. Kila binadamu liko jambo ambalo analiweza zaidi ya jingine. Tafuta lako, lifanyie kazi.

8. Kukubali maisha yenye ubora mdogo kuliko ule ambao nguvu, vipawa na uwezo ulioojaliwa vingeweza kukupatia. Kuwa jasiri kuacha yaende yale ambayo unaona si kiwango chako na kuwa na busara kusubiri huku ukiyafanyia kazi kwa bidii yale ambayo unaamini ni kiwango chako. Kuna muda inabidi uanguke chini zaidi kuliko hapo ulipo ili uweze kusimama na kukaa juu zaidi ya hapo ulipo. Kuna muda macho yako inabidi yaoshwe kwa machozi yako mwenyewe ili uone mbele vizuri zaidi.

9. Kila siku kukaa ukiisubiria kesho. Tatizo ni kwambo siku zote tunadhani tuna muda. Ukweli ni kwamba iko siku utagundua kwamba huna tena muda wa kufanya yale ambayo ulitamani kufanya kwenye maisha. Ikifikia hiyo siku inawezekana utakuwa umeshatenda yale uliyotamani kutenda au utakuwa na orodha ya sababu za kwa nini hukufanya uliyotamani kufanya kwenye maisha yako. Muda wa kuamua ni sasa.

10. Uvivu na kulalamika. Hakuna mtu anaidai kitu dunia. Tumeikuta hapa na yenyewe ndio inatudai kuitunza na kuiacha bora kuliko tulivyoikuta kama waliotutangulia walivyoitunza nasi tukaikuta. Usiseme iko siku, siku ni leo. Usisema fulani atafanya hivi na vile, fulani ni wewe. Chukua jukumu

0 comments:

MESEJI NZURI ZA MAPENZI KWA UMPENDAYE KWA DHATI

14:15:00 Unknown 4 Comments




Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu.
****
I asked God for a rose and He gave me a garden. I asked God for a drop of water and He gave me an ocean. I asked God for an angel and He gave me you!
****
Kuna vitu viwili zinavyoniamsha asubuhi na mapema: Alamu ya saa yangu na wewe
*****
I will walk with you side by side for only one condition: hide your wings every time we walk together because the whole world might know that you're my angel!
****
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu!
****
Do you take me to be your lawfully wedded text mate, in sickness or in health, through metering or not, till low bat do us part?
****
Penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii.
****
Each of us is an angel with one wing. The only way we could fly is to hold each other and share wings. So if you have trouble flying, I will always share mine with you.
****

Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako kuwa pamoja.
****
Minsan caring is better than loving. Minsan tea is better than coffee. Minsan smile is better than laughter. Pero nobody is better than you.
****
Umewekwa usiku ili tuweze tuukubali mchana, huzuni ili tuikubali furaha, ubaya ili tuukubali uzuri, wewe ili niyakunali mapenzi.
I don't want to say I miss you, though deep inside I do, coz I'm afraid you might see thru and know how much fear I have of losing someone like you.
****
Unaonekana kung’ara leo nilijuaje…….ni kwasababu unaonekana hivyo kila siku
****
You greeted me hi, I didn't reply. You gave me a sweet smile, I responded with a sigh. You showed me your love, you received a shrug. But when you bid goodbye I began to cry.
****
I have heard from the phone company, the water company, the electric company, but haven't heard from you. Too bad, it's your company I love the most.
****
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe.
****
I've been wondering why you're not texting... Multiple choices: a. busy b. dilemma c. tired d. thrifty e. want me to miss you.
****
Love is something special, a treasure I want to find... To others, love is blind but for me, its not true, coz when I fell in love...I saw you.
****
Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo meseji?
****
True love is hard to find, special one, one of a kind. I know because it appeared to me on a strange day I met you.
****
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe.
****
While you gave her flowers, you gave me thorns. While all she did was smile, all I did is mourn. While she was so happy, I felt so blue. Because while you loved her, I was loving you.
****
Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe.
****
Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
****
Can I say I love you today? If not, can I ask you again tomorrow? And the day after tomorrow? And the day after that? Coz I'll be loving you every single day of my life.
****
Mwanamke ni yule amfanyaye mwanamme auhisi uanaume wake, wewe ni mwanamke mwenye sifa hizo.
****

If love is a disease then I'm very ill. But I would not want medicine and won't take any pill. I would instead suffer this illness and be bedridden with joy of knowing you.
****
Kukusahau wewe ni ngumu lakini kunisahau mimi ni juu yako. Usinisahau kamwe, unaweza kuisahau meseji hii, lakini si mtumaji.
****
First time I saw you, I was scared to touch you. First time I touched you, I was scared to kiss you. First time I kissed you, I was scared to love you. But now that I love you, I'm scared to lose you!
****
Mambo yanapokwenda mrama kumbuka kuwa kuna Mungu peponi anayekupenda na kukuangalia, lakini yupo duniani anayekujali ambaye ni mimi peke yangu.
****
An angel asked me a reason why I care for you so much. I told her I care for you so much coz there's no reason not to.
****
Why do birds fall from the sky every time you walk by? Maybe because like me they want to be near you!
****
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane
****
They say as long as at least one person cares for you, life isn't a waste. So when things go terribly wrong, and you feel like giving up, please remember you still got me.
****
Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi na mapenzi huanza na mimi na wewe.
****
If only one star would fall every time I miss you, then all the stars in heaven would be gone. Don't wonder if there are no stars tonight! It's your fault coz you made me miss you a lot.
****
Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchana hazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje, ‘tunafiti’ kuwa pamoja.
****
If someone would ask me what a beautiful life means, I would lean my head on your shoulder and hold you close to me and answer with a smile: "Like this!"
****
Niotapo ndoto, hukuota wewe...labda siku moja, inaweza kuwa kweli.
****
Life may sometimes be a rough road to walk on where everything seems wrong. But don't give up. Just go on coz when you think you're all alone, look back and you'll find me walking along.
****
Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha, mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchi nyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo?
****
Someone once asked me, "Have you ever fallen in love?" Then I answered, "Of course, once." Then they asked me another question: "Did it hurt?" I thought of you and told them "Yes, very much".
****
Kama ningeweza kutenga muda kidogo na kuufanya uendelee kung’ara siku zote, siku zote nilizoishi ningechagua wakati nilivyoishi nawe.
****
I used to think that the world is so unfair, that it gave me so many reasons to hate it. But now, how can I hate such a wonderful world that gave me you?
****
Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemka na kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozi jichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo.
****
When it rains, you don't see the sun, but it's there. Hope we can be like that. We don't always see each other, but we will always be there for one another.
****
Naweza kuishiwa ujumbe wa kukutumia. Naweza kuishiwa utani pia. Naweza kuishiwa chaji lakini moyo wangu hauwezi kukosa nafasi ya kukuweka.
****
You'll know that you miss someone very much when every time you think of that person, your heart breaks into pieces and just a quick "Hello" from that person can bring the broken pieces back.
****
Penzi, maisha yangu yote nimesoma juu ya neno hili, nimeota juu yake, nimelilia, nimelihitaji. Sasa pamoja nawe nimelipata.
****
When the time comes I can't smile anymore, don't worry about me, I know what to do. I'll just stare at one corner and think of you. No one else could make me happy like the way you do.
****
Kila mtu anataka kuwa jua linalong’arisha maisha yako, lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wa giza ambapo jua limechwea na haliangazi tena.
****
There's a love that only you can give, a smile that only your lips can show, a twinkle that can only be seen in your eyes, and a life of mine that you alone can complete.
****
Ah—Nimesahau jina lako. Ninaweza kukuita langu? Na iwapo utasahau langu, niite lako mpenzi!
****
If I had the letters "HRT", I can add "EA" to get a "HEART" or a "U" and get "HURT". But I'd rather choose "U" and get "HURT" than have a "HEART" without "U".
****
Unaweza usione kamwe ni kwa kiasi gani ninavyokujali. Unaweza usisikie ni kwa kiasi gani nilivyokushiba, unaweza usihisi namna gani ninavyokukumbuka. Sababu ni moyo wangu tu uliyoyaficha hayo.
****
There are 4 steps to happiness: 1. you, 2. me, 3. our hearts, 4. together!
****
A day may start or end without a message from me, but believe me it won't start or end without me thinking of you. See! I just did. Take care.
****
Kama busu ni maji ningekupatia bahari, kukumbatia ni majani, ningekupa msitu. Mapenzi ni maisha ningekupa yangu bure.
****
It's hard to say hello because it might be goodbye. It's hard to say I'm okay because sometimes I'm not. But it's easy to say I miss you coz I know that I really do.
****
Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja, hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi.
****
If you're feeling lonely and you think there is nobody there to love, support, listen or show they care, just save this message and every time you realize it, it will remind you that a part of me is always there with you.
****
Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji kuishi nikumbuke mimi.
***

Roses are red, violets are blue. I am waiting to hear from a cute guy like you.
****
Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila nikijitahidi unaipoteza akili yangu
****
Do you know that men and women are angels created with only one wing? And they need to embrace each other to be able to fly... Hope you can find your angel whom you can fly with forever.
****
Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko na furaha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha mara nyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapa kukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtu anayekujali.
****
I always think of you, but I always fail to know the reason why. Is there something else I should know about you? But there is one thing that I know is true. That life will always be sad without you.
****
Chuki huharibu akili; mapenzi huitibu. Umeitibu akili yangu.
****
Don't say you love me unless you really mean it cause I might do something crazy like believe it.
****
Kumjali mtu ni rahisi, lakini kumfanya mtu akujali ni vigumu, nashangaa umewezaje kunifanya nikujali?
****
I'm afraid to close my eyes coz I might think of you. I'm afraid to open them coz I might see you. I'm afraid to move my lips coz I might speak of you. I'm afraid to listen coz I might hear my heart fall for you.
****

I'm sorry to be smiling every time you're near. I'm sorry my eyes twinkle whenever you're here. I'm sorry that cupid has made his hit. I'm sorry I love you, I can't help it.
****
Nitafute wakati una huzuni, nitafute wakati hamna wa kukusikiliza. Sijali kama mimi ni kimbilio lako la mwisho, bali sipendi ulie peke yako.
****
If love can be avoided simply by closing our eyes, I wouldn't blink at all for I don't want to let a second pass having fallen out of love with you.
****
Ningependa siku moja utamani sana kuwa na mimi, na uhangaike sana kunitafuta, ili ujue ni kwa kiasi ninavyotamani kuwa nawe sasa.
****
If I could be any letter in the alphabet, I'd choose "V" so I can be next to "U"; if you could be any note, I wish you're "RE" so you’re always beside "ME"!
****
Kila unachokifanya natamani niwepo, nikitumainia kila ndoto yako itimie kila muda na sehemu, niwepo nikikutakia mafanikio mema kwasababu nakujali.
****
The spaces between our fingers were created so that another person's fingers could fill them in. Hope you'll find your dream hand to hold you forever.
****
Viungo vyote vya mwili wangu vinakuhitaji, inawezekana kwasababu nimeumbwa kwa ajili yako.
****
When you love someone, draw a circle around their name instead of a heart coz hearts can be broken but circles never end.
****
Nobody tells fish to swim, birds to fly, cows to moo, dogs to bark - they just do. Just like nobody tells me to remember you. I just do!
****
Kama ungekuwa kidonda kwenye moyo wangu, ningekiacha na maumivu yake ndani yangu.
****
Whenever you feel blue, I will be there for you. Whenever you are sad, I will stay by your side. Whenever you need someone to love, I will always be there for you to have.
****
They can recycle paper till it's as good as new, reproduce cans and jars and old bottles too, but they can never recycle another person as wonderful as you.
****
What good is beauty without brains, looks without charm, money without happiness, a smile without feelings, a life without you?
****
Kusumbuliwa na mlio wa simu yako, humaanisha kuwa muda fulani, mahali fulani, kuna mtu anakufikiria muda huu, na huyo ni mimi mara zote nakujali.
****
A person you love is an extension of yourself. Without it, you're not complete so better take care of yourself because I don't want to lose a part of me.
****
I wish my eyes could speak what my heart feels for you; coz my lips can lie on what is true. My eyes couldn't coz even if I close them I could still see you.
****
Every time I hear my text tone, I always hope one of them is from you. My cell phone may have limited memory space but my heart has unlimited space for someone like you.
****
Nimekuapata! Kama unanichukia, nipige mshale, lakini tafadhali si moyoni sababu hapo ndipo wewe ulipo.
****
Someone asked what makes people happy. Some said wealth and some said fame. I was thinking about this when my cell phone beeped and received a text from you. Then, I smiled and said: "This makes me happy."
****
You're like a target that I always try to aim at. How I wish I could aim you at the heart. But every time I fail, I feel so sad. You know why? It's because I always end up missing you.
****
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe.
****
If I get takot, would you hawak me tight? If I gawa something mali, would you make it right? If I build an apoy, would you bantay the flame? If I sabi I miss u, would you ramdam the same?
****
Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka sababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimi sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa.
****
Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia, hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa katika maisha yangu.
****
If a kiss were a raindrop, I'd send you showers. If hugs were a second, I'd send you hours. If smiles were water, I'd send you the sea. If love was a person, I'd send you me.
If I had to choose whether to breathe or to love you, I would use my last breath to tell you that... I love you.
****
Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jambo ambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kila ninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena.
****
It's magic each time we hold each other, each time we cuddle, and each time we kiss. I feel goosebumps all over again. I never want to let you go for fear of losing you, so I just hold on a little bit tighter each day, refusing to let go. You will never know the warmth I feel inside me when I'm with you. You're all I ever wanted.
****
Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka moyo na akili yangu pia.
****
You may not love me like I love you,You may not care for me like I care for you But if you ever need me, I will always be around for you.
****
Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufua yaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yote yaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangu kwa kuwa tunapendana!
****
Love doesn't make the world go round, it just makes the ride worthwhile. Love is in your heart not to stay, but to be shared.
****
Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambo muhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, la pili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwa kuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuungana pamoja.
****
If you love someone, you give everything as you can and don't expect to receive anything in return.
****
Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yule atakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasi inapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letu laazizi wangu.
****
Mpenzi nakupa pole sana maana nimesikia habari mbaya kwamba unatafutwa na polisi kwa kosa kubwa sana ambalo huwezi kulikana na lina ushahidi wa kutosha kwamba unatuhumiwa kuiba moyo na mawazo yangu kiasi cha kunijeruhi mawazo yangu hadi sasa naonekana kama chizi.
****
When you will find any reason for your love,you should know that your love is not true....because true love has no reasons...
****
You don't have to love in words; even through the silences love is always heard. I Love You Honey! The way you look into my eyes It scares me The way you say "I love you"
****
Nakupenda mpenzi W nafasi uliyotawala moyoni mwangu ni kubwa, hakuna ambaye anaweza kufikia uhodari wako, wewe ni mtu muhimu sana maishani mwangu.
****
Just 3 words, i have to say it ,no matter where we are,no matter who were with, no matter how lond it takes i have to say i love you
****
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.
****
J, I love u frm core of my heart.My Every beat of heart is u n wen it pumb blood frm heart n blood goes to brain it again remember's u....I LOVE U
****
I wish my eyes could speak what my heart feels for u bcoz my lips could lie on what is true.My eyes couldn't bcoz even if would close them i would still see u ....... love you still n after my last breath
****
Nakupenda mpenzi wangu, sifikirii kitu chochote zaidi yako na kwa kuwa nakupenda sipendi kuwa na urafiki hata na msichana kwani atakuwa anabana nafasi niliyokuwekea wewe. Noamba unipende nami nakupenda kila sikunde inayopita maishani mwangu. Mwaaaaaaaaa baby.
****
Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi, ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupenda mpaka mwisho wa uhai wangu.
****
I LOVE you not for who you are, but for how you make me feel... Every time you touch me i can feel my heart going BOOM BOOM BOOM and it goes faster and faster. When you are not next to me i feel like a part of me
****
Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linaweza kusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha.
****
To the soul that hug my soul,to the heart that kept his secret in mine,to the hand that lighted the fire of my emotions,to my lovely butterfly....love will keep us alive
****
Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu nakusubiri daktari wangu.
****
U may be out of my sight, but not out of my heart. U may be out of my reach, but not out of my mind. I may mean nothing to u, but u'll always be special to me.
****
I love so much my heart is sure. As time goes on I love you more. Your happy smile, Your loving face, No one will ever take your place.
****
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.
****
You have my heart, my soul, and my love. you mean the world to me, and i would do anything for you. you are my true love and I want to be with you forever. you are truley amazing and deserve the very best. I only h
****
Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapata ukiniachana, mpenzi usiniache nami siko tayari kukuacha.
****
I love you. I love every little thing about you. I love your cute smile, your magical eyes, and the sound of your voice. I love your gentle touch, and I love the warmth I feel when I’m by your side. I can't stop THINKIG ABOUT U

4 comments: