Wanawake Ni SILAHA Hatari Sana Ambayo Hutumiwa Na SHETANI Kumwangamiza Mwanamume.

14:38:00 Unknown 0 Comments




JE, WAJUA?

Wanawake Ni SILAHA Hatari Sana Ambayo Hutumiwa Na SHETANI Kumwangamiza Mwanamume.

ADAMU Aliangushwa Na Shetani Kupitia EVA (HAWA), 

SAMSON.Aliangushwa Na Shetani Kupitia DELILA, 

YOHANA Mbatizaji Aliuawa Kikatili Kupitia BINTI HERODIA.

YUSUFU Alifungwa MISRI Kupitia Mke Wa Mfalme. 

Mfalme DAUDI Alianguka Kupitia BATSHEBA~ Mke Wa Uria.

Dokta love pimbi miaka yake yote amepata vichapo kwa ajili ya mwanamke

Fuledi alipata kisago juzi kwa ajili ya mwanamke

Mshahara wa Bob unateketea kw asababu ya mwanamke

Hapa na wewe unapoteza muda wako kusoma habari hi feki kwa sababu unataka kumfahamu mwanamke

Umakini Unahitajika Zaidi UKIONA Unaitwa HANDSOME Wakati Unajijua wewe Una sura Mbaya.

Ukiitwa BABY wakati Ni MZEE Wa Zaidi Ya Miaka 40...

Ukiitwa Portable Wakati Una Kilo zaidi ya 80.CHUKUA TAHADHARI.

sNaomba maoni yako kupitia hapa Comment basi.... Duh

You Might Also Like

0 comments: