TOYOTA VITZ CC 990 INAUZWA KWA BEI AMBAYO NI SAWA NA BURE

16:49:00 Unknown 0 Comments






TOYOTA VITZ

CC 990 TU Kwa bei sawa na bure...

Inafaa kwa matumizi ya mji kama Dar na mafoleni ya ajabu ajabu..Ukiweka Wese la buku5 unaenda Chalinze na kurudi

BEI NI 5.5Million....Maongezi sijui kama yapo

Tuwasiliane kwa 0754 711243 umiliki gari ambayo hata ikiishiwa Mafuta inatembea kwa upepo tu...Haina gharama

NASUBIRI SIMU ZENU...MZIGO HUO HAPO

You Might Also Like

0 comments: