Ikifika mwaka 2017 na bado hujaoa basi ujue Possibility ya wewe kuoa ni ndogo sana

14:27:00 Unknown 0 Comments

Ikifika mwaka 2017 na bado hujaoa basi ujue
Possibility ya wewe kuoa ni ndogo sana.Sio kwa
sababu wanawake watakuwa wameisha,LA hasha!
Ila hutaweza ku-afford kuoa labda umtoroshee
msichana wa watu Gheto kwako uishi nae
kinyumba ,ilakuoa jasho la meno litakutoka.

Ukipeleka Ombi la kuoa ujiandae kwa gharama
zifuatazo kutoka Familia ya Bibi Harusi Mtarajiwa:

1.Blanketi la Bibi kutoka Home Shopping centre
vipisi viwili,rangi ya Purple
2.Blackberry Q10 ya Mshenga
3.iPhone7 Water Proof(itakuwa imetoka) ya Baba
Mkwe
4.3-Piece-Suit ya NGOWI. kwa ajili ya Mjomba wa
Bibi harusi aliyemsomesha Bi harusi sekondari
huko mwanalugali
5.Samsung Galaxy 9 Bold-Wipe Screen ya Mama
wa Ubatizo wa bibi harusi
6.iPad ya Kungwi wa bi harusi
7.Koti la Single button Leather by Martin Survivor
Kadinda kwa babu wa bi harusi kutoka Ileje
8.Mahari itajumuisha Less-Wig Brazillian Hair kwa
mama mzaa chema,na Table sets za mninga kutoka
Orcadeco..

Hapo bado hujanunua Suti yako,Shela
ya Bi Harusi ambaye atang’ang’ania litoke
Uturuki,na hapo ana kijacho chako cha miezi 4
kishaanza kutuna kama kitenesi,bado hujalipia
Ukumbi Mwika Social Hall,hujammalizia MC
Luvanda milioni 4 ya kuwa MC wa harusi
yako…THUBUTUU YAKO!

Ukipewa Bili TOTAL utakuwa umehamishia mawazo
kumalizia ujenzi wako wa nyumba iliyoko Site kule
Goba,utaona kuoa ni upotevu wa hela na muda.
Ndugu yangu heri uoe sasa,usiwaone watu
wamechangamka kuoa hii miaka 2 ukajua ni bahati
mbaya,WAMEONA MBALI..Ikifika 2017 utaomba
Poo,sasa hivi we jishaue kuchagua-chagua tu Mke
wa kuoa kama uko mitumbani Karume,Heri uoe
huyohuyo hata kama miguu yake imepinda kama
Upinde wa Mvua itanyooka mkiwa Honeymoon….
n mtazamoooo

You Might Also Like

0 comments: