Wengi wanavyoamini

19:22:00 Unknown 0 Comments


1. Mvua ikinyesha wakati jua linawaka……….simba anazaa


2. Ukinywa maji ya nazi……utapata busha

3. Mtu akikuruka…..utakuwa mfupi

4. Usiokote chakula kilichodondoka…..shetani amekila

5. Mtu akikuuma, paka mavi ya kuku 
alipokuuma…meno yake yataoza

6. Ukifagia usiku…unafagia bahati

7. Uking’oa jino tupia juu ya bati…kunguru 
wakichukua watakuletea jingine

8. Ukimpiga mbayuwayu na manati chanjia 
damu yake unakuwa na shabaha

9. Ukivaa kiatu kimoja…titi la mamako litavimba

10. Mtu akisimama nyuma yako wakati umekaa anakunyonya damu

11. kiganja kikiwasha utapata pesa ongeza nawe

You Might Also Like

0 comments: