Karibuni Songea mji wakitalii
1. Una matuta makubwa ya barabarani "bumps"2. Tuna pikipiki nyingi kuliko watu
3. Una matunda mengi ya kipekee mf;- madonga,mfudu,masuku,mbula!.
4. Una mboga nyingi za kipekee mf;- mangaukau,linamfusulela, chikandi,likungu,kipele,mangat
5. Majina mengi ya watu wake ni ya wanyama mf;- komba,mapunda,mbawala,tembo,si
6. Pia una ngoma nyingi mf;- madogoli, beta,zilanga,mganda,lizombe,li
7. Ili ufike nyumba husika lazima uambiwe nyumbii hii bombi hii
Hiyo ndio Songea yetu banaa..,mji uliobarikiwa!.
Chezea songea weye.
COMMENT KAMA UMEELEWA BAADHI YA MANENO.
0 comments: