Tofauti kati ya wanawake na wanaume wakiwa kwenye ATM

16:09:00 Unknown 0 Comments


1. Atatoa kadi ya ATM.
2. Ataichomeka.
3. Ataingiza namba ya siri.
4. Atachukua pesa, card na risiti.

Mwanamke na ATM.
1. Ataitoa kadi ya ATM.
2. Atajichek kwenye kioo cha makeup.
3. Atazima gari.
4. Ataweka funguo kwenye pochi.
5. Ataitafuta ATM kadi kwenye pochi.
6. Atachomeka kadi.
7. Atatafuta kikaratasi chenye namba za siri.
8. Atasoma maelekezo kwa dk.2.
9. Atabonyeza CANCEL.
10. Ataingiza namba ya siri upya.
11. Ataangalia balance.
12. Atatafuta kibahasha.
13. Atatafuta peni kwenye pochi.
14. Atatoa hela.
15. Atarudi kwenye gari.
16. Atajiangalia makeup tena.
17. Atatafuta ufunguo kwenye pochi.
18. Atawasha gari.
19. Atarudi tena kwenye ATM.
20. Ataenda chukua kadi na risiti.
21. Ataweka kwenye walet.
22. Atajiangalia makeup tena.
23. Ataondoka mita chache na kutoa handbreak.

You Might Also Like

0 comments: