Utajiri wa kuku kula maindi ulivyonipa maisha ya hofu kwa miaka 15........ Habari ya kweli

16:05:00 Unknown 8 Comments



Baba mmoja aliyeteseka sana na umaskini na kushindwa kuitunza familia huku majirani wakimsema kwa ufukara wake mpaka kufikia kufanya kazi kazi ngumu zenye ujira mdogo aliamua kwenda kwa mganga ili apate utajiri.

Mganga akamwambia atampa utajiri ila atayarusha mahindi na kuku atakuja na kula punje na kwa kila punje itamaanisha miaka atakayoishi akiwa tajiri wa kutupwa.

Mahindi yakarushwa na kuku akaja na kula punje 15 na baada ya hapo mzee akarudi na kuanza biashara na utajiri ukaanza kumnukia.

Mara jina likaanza kukua kwa kasi na kuwa kubwa huku watoto wakaenda shule miradi yale ikakua na maisha yakaanza kuwa mazuri machoni pake na kwa kila mtu iyemzunguka akatamani maisha ya mzee yule.

Miaka kumi baadae watoto wakawa wamehitimu vyuo na wote wakimsaidia katika biashara zake na mambo yakiwa mazuri sana.

Wakati wote huo kuna tatizo likaanza kumpa wakati mgumu yule mzee kwani siku za uhai wake zilianza kupungua na kuwa soon angeiacha familia yake na kufa.

Mzee akamfuata yule mganga ampe miaka zaidi ya kuishi lakini mganga akashindwa kutoa msaada wowote na mzee kurudi kwake.

Mawazo yakamwandama mzee bila ya kumshirikisha mtu na akawa hana tena ile furaha na familia isijue nini cha kufanya kwani mzee alifanya kuwa siri.

Mzee akaanza kuhaha kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine kutafuta waganga wa kumnusuru na kufo bila ya mafanikio na hatimaye kuanza kwenda kila nchi bila mafanikio pia.

Ikafika hali mzee akaanza kuona kila jambo ni chungu na ikawa imebakia miezi michache kufikia tarehe ya kufa, akamwita mwanae wa kiume na kumwambia kuwa anasafari anayotaka waende pamoja.

Wakaondoka na kwenda mpaka nigeria na kutembelea waganga mbalimba bila mfanikio na hatimaye zikawa zimesalia siku chache tarehe ya mzew kufa ifike.

Akamsimulia mwanae kisa chote na kumwomba kuwa siku zilizosalia angependa aende afrika ya kusini na ili akajiandae kufia huko.

Wakaondoka na wakiwa kwenye akakutana na mama mmoja na mama akamuuliza ni kwa nini alionyesha kutokuwa na amani na furaha usoni mwake?

Mzee akamsimulia kisa chote na kusema sasa ameamua kwenda africa ya kusini ili akafie huko na mwanae amzike huko na kisha kurudi tanzania.

Yule mama akamwambia, "usihofu kamwe hautakufa na amini nguvu za giza zimeshindwa kwani sasa nuru ya bwana imeng'aa na maisha yako yatadumu nawe utawashuhudia watu ukuu wake......nitaomba uje nyumbani kwangu"

Wakafika Afrika ya kusini na yule mama kumbe ni mchungaji katika kanisa moja na akamwombea na mzee akaamini na siku zikasogea na siku ya kufa ikapita na mzee akawa mzima wa afya na mpaka sasa anaishi na maisha yake tamebadilika kwani kamkabidhi Mungu.

Nakuombea rafiki yangu kuwa msukumo wa maisha yako kutokana na ugumu wake yasikufanye upotoke imani yako kwa Mungu wako kama mzee huyu.

Jitume sana na kumshirikishe Mungu mipango yako ukimtumainia na usitafute njia za mkato zitakazo fupisha maisha yako au kukupa hofu.

Pia kama umemkosea Mungu kumbuka una namna ya kumrudia mungu wako tena

Hizi ni hadithi hivyo hakuna ukweli kama unabisha nitext whatsapp 0713317171

You Might Also Like

8 comments:

  1. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete
  2. ASALAAM ALAYKUM, USTADH JABIR

    Habari wapendwa Naitwa Ustadh JABIR karibu uweze kuhudumiwa katika shida mbalimbali hacha kutapeliwa njoo kwa uwezo wa Allah Jambo lako litatatulika matatizo ambayo kwa uwezo wake Mola naweza kutibu hata ukiwa mbali kwa uwezo na kubri Allah amenijalia, wacha kutanga Tanga njoo nikuhudumie kwa shida mbali mbali kama vile

    KUPATA UTAJIRI,
    KUSAFISHA NYOTA,
    KUOACHIKA MVUTO NYOTA YAKO
    KUMREJESHA MPENZI,
    KUPANDISHWA CHEO,
    MAGONJWA MBALIMBALI KAMA UVIMBE, MIKOSI NUKSI,
    KUPOTEZA PESA BILA YA SABABU YAANI HAIKAI,
    KUDHARAULIWA, N.K

    KWA MAWASILIANO PIGA +255 785024244
    PIGA SIMU HUSITUME SMS KUEPUKA UTAPELI ASANTE NA KARIBU.

    ReplyDelete
  3. NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI MPAKA MASAA 72(SIKU 3) PAPO HAPO ULIPO KUPITIA KALAMA KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    HACHA KUTANGATANGA PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI

    NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI NA KUTUNZA SIRI......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA YA DHATI.

    ReplyDelete
  4. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete
  5. UTAJIRI AU MALI ZA NDAGU NA MAJINI NDANI YA MASAA 48 MPAKA 72. KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA MAFANIKIO.
    Everyone
    Leo Natoa somo bure kuhusu Mali za ndagu,
    Unaweza kujiuliza mali za NDAGU ni nini?

    Dokta Mdiro call/whatsup +255 742162843.

    Ndagu ni dawa ambazo hutengenezwa kwa mkusanyiko wa taratibu fulani ambazo hufanyika kwa pamoja ikilenga jambo fulani.

    Hasa malengo makuu ya ndagu ni
    1.kutengeneza mali
    2.kulinda Mali.

    Ndagu hizi hutumia nguvu ya wazee(Mizimu)
    Sasa yapo nikupe maana ya mizimu ni nini?

    MIZIMU NI NINI?

    Mizimu ni roho za wazee wetu (wa ukoo) toka katika pande zote mbili Baba na Mama ambao ni babu na bibi toka kwa baba na babu na bibi toka kwa Mama,roho hizi huja na kuwa na sisi pale tunapozihitaji au zinapotuhitaji....!
    kwanini Mizimu huja kwetu au kwaini tunaiita?
    -UDUGU, kumbuka roho hizi ni zile za waze wetu (ancestors) ambao walizaa baba na mama zetu hivyoo kuja au kuwaita hutokana na Udugu

    ULINZI, roho zote zisizo na mwili huona yasiyoonekana kama Uchawi na magonjwa hivyoo Wazee wetu huja na tunawaita watuambie haya tusiyoyaona.

    MILA, utamaduni na desturi zetu hututaka tufanye mambo yaliyo katika mpangilio ulio sahihi kama kuwapa wazee heshima na kusikiliza yale wanayotuambia.

    Wazee hawa hutupatia mali kama zawadi lakini kwa masharti fulani maalumu hii ni tofauti na majini.

    Aina za ndagu zipo sita kunazile ambazo unaweza kufanya sehemu ulipo na zile ambazo unaweza kufanya kwa kunifuata yaani tukiwa pamoja hii ni kutokana na sababu mbalimbali kama wengine kutokuwa na ghalama za safari hivyo unaweza kufanya sehemu ulipo na jambo lako kukamilika.

    Ndagu ambazo ni lazima tuwe pamoja ni 4.
    1.Kutoa kitu.
    2.Mimba.
    3.Utasa.
    4.Ndugu 3.

    Ndagu ambazo unaweza kufanya sehemu ulipo ni 2.
    1. Ulemavu.
    2.Wanyama.

    Angalizo!!! Kwa msaada piga simu husijaribu jambo bila maelekezo ya dhati.

    Karibu sana na uwe na nia ya dhati.

    DOKTA MDIRO Namba call/whatsup +255 742162843

    ReplyDelete