Hivi simu huwa ina STACHI au STUCK

16:39:00 Unknown 0 Comments


Jamaa katoka kaenda kwa fundi simu na na simu mbomvu na mazungumzo yaka yafuatavyo:
Jamaa: Fundi nimeleta simu yangu ina matatizo
Fundi: Matatizo gani?
Jamaa: Kila nikiiwasha ina STACHI
Fundi: Kama ina STUCK natengeneza ila kama ina STACHI iongezee vitamin A

You Might Also Like

0 comments: