Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yazua utata

13:15:00 Unknown 0 Comments

Baada ya uchaguzi wa serikali za mtaa
mgombea karudi kwake amenuna.
MKE; Vipi matokeo?
MUME: Nimeangushwa vibaya
MKE: Umepata kura ngapi?
MUME: Kura mbili
MKE: Mshenzi mkubwa kumbe una nyumba
ndogo hapa mtaani leo utamtaja

You Might Also Like

0 comments: