Mshirikishe Mungu katika mambo yako yote

16:29:00 Unknown 0 Comments


Kobe,Kinyonga, Panya,Sungura, na Jongoo; Wote hutembea japo kila mmoja ana Mwendo kasi wake,lakini wote hufika waendako;

MWENDO WA MTU MWINGINE USIKUTISHE WALA MAFANIKIO YAKE YASIKUNYIME AMANI KATIKA KUSONGA MBELE. Amini kila Mtu ana Riziki yake; Na Mungu humpa kwa wakati wake; 

Tafadhali usikate Tamaa; Mshirikishe Mungu katika mambo yako yote naye atakusikia kwani maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtaona bisheni nanyi mtafunguliwa, na kila amuombaye MUNGU kwa bidiii atafanikiwa tu.
JIONI NJEMA

Imeandikwa na Angel W Shangali

You Might Also Like

0 comments: