Jinsi ya kupima ugonjwa wa kisukari
Mzee kaingia pharmacyMZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?....
Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka...majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na
kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama ninakisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
0 comments: