raia Watanzania wakiwa na mali hujitenga na wenzao
Panya
alimeza kipande cha dhahabu mwenye dhahabu akachanganyikiwa na kuamua kumkodi
mpelelezi mmoja ili aje amuue panya aliyemeza dhahabu. Mpelelezi alipofika
alikuta panya zaidi ya 500 lakini alishangaa kumuona panya mmoja
kajitenga,ndipo alipomkamata na kumuua,alipompasua akakuta kipande cha dhahabu
akamkabidhi mwenyewe.Yule jamaa alipigwa na butwaaa huyu mpelelezi alimjuaje
yule panya ikabidi amuulize.
Jamaa:aisee we mkali,ulijuaje kama huyu ndiye panya aliyemeza dhahabu?
Mpelelezi:hawa panya nao ni kama raia Watanzania wakiwa na mali hujitenga na wenzao
Jamaa:aisee we mkali,ulijuaje kama huyu ndiye panya aliyemeza dhahabu?
Mpelelezi:hawa panya nao ni kama raia Watanzania wakiwa na mali hujitenga na wenzao
0 comments: