Mambo kumi ya kuyafanya kabla ya kuamua kuoa

16:09:00 Unknown 0 Comments



1. Tafuta hela

2. Make sure youhave enough money

3. Uwe na ATM card

4. Lzima uwe na account bank

5. Hakikisha una saving kubwa

6. Kuwa na mtaji wa kuolea

7. Haki ya nani tena hakikisha ngawira ipo

8. Asikudanganye mtu lazima mfuko uwe safi

9. Uwe na uhusiano na Tigo Pesa,Mpesa, bank etc

10. Soma vizuri namba 1,2,3,4,5,6,7,8,na 9

You Might Also Like

0 comments: