Sasa huu ni ubahili au ushamba????
Jamani mimi nimeolewa na nina miaka 3 ya ndoa...Kinachonikera mme wangu hataki kunitoa out na ni msomi mwenye hela zake na kazi nzuri.
Sasa huu ni ubahili au ushamba?
09:25:00 Unknown 0 Comments
Nakushukuru kwa kunipa nafasi hii adimu sana ya kufurahi, kuelimika na kubadilishana mawazo. Nitafurahi sana kama utaniachia comment hapo chini ili nijue kama habari,ucheshi, simulizi na vioja vioja hivi vimekupa siku yako kuwa BOMBA. Kumbuka nawe waweza share nami chochote ulichonacho kwa kunicheki kupitia whatsapp kwa namba 0713317171 au kupitia comment. Asante.
0 comments: