Mambo muhimu kwa dada zetu kuzingatia ili kuboresha afya zenu
13:38:00
Unknown
0 Comments
13:38:00 Unknown 0 Comments
Akina dada naomba niwajuze machache huenda yakawa msaada kwenu.
1.Usitumie sabuni yeyote yenye chemical kujisafishia sehemu za siri(hupelekea kuu walinzi wa maeneo hayo na kukusabishia fungus na muasho ukeni.
2.Usitumie ndoo ya kudekia kwa kwenda kuogea(hubeba vimelea na vijidudu vitakavyokusabishia UTI na fungus.
3.Wakati wa kujisafisha baada ya haja kubwa nawa kwa kutoka mbele kuelekea nyuma(hii itasaidia vijidudu vya kinyesi visiingie ukeni na kukuletea madhara
Source:JF
Fuledi Mwagito
Nakushukuru kwa kunipa nafasi hii adimu sana ya kufurahi, kuelimika na kubadilishana mawazo. Nitafurahi sana kama utaniachia comment hapo chini ili nijue kama habari,ucheshi, simulizi na vioja vioja hivi vimekupa siku yako kuwa BOMBA. Kumbuka nawe waweza share nami chochote ulichonacho kwa kunicheki kupitia whatsapp kwa namba 0713317171 au kupitia comment. Asante.
0 comments: