MATOKEO YA KIDATO CHA 6 2014 YATANGAZWA!

12:45:00 Unknown 0 Comments



MATOKEO YA KIDATO CHA 6 2014 YATANGAZWA!

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III.

Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825

- Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54

- Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.

- SHULE 10 ZILIZOONGOZA

1. Igowole
2. Feza Boys
3. Kisimiri
4. Iwawa
5. Kibaha
6. Marian Girls
7. Nangwa
8. Uwata
9. Kibondo
10. Kawawa

- SHULE 10 ZA MWISHO

1. Ben Bella
2. Fidel Castro
3. Tambaza
4. Muheza High School
5. Mazizini
6. Mtwara Technical
7. Iyunga technical
8. Al- falaah Muslim
9. Kaulia
10. Osward Mang'ombe



Angalia shule yako  HAPA

You Might Also Like

0 comments: