TAHADHARI JUU YA UGONJWA WA DENGUE!!

06:23:00 Unknown 0 Comments



Iwapo itatokea una kila dalili za homa ya dengue, dawa ya kukimbilia kwanza ni Panadol; inashauriwa usimeze KABISA Diclopar wala Diclofenac. Iwapo utameza dawa hizi, utakuwa kwenye uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha. Imetolewa na Wizara ya Afya!.

SHARE ujumbe huu na wenzako!

You Might Also Like

0 comments: