Wanaume kuweni makini.... Njia mpya ya wanawake kulazimisha ndoa imegunduliwa hapa mtaani kwetu.

13:11:00 Unknown 0 Comments



Jamaa kaopoa binti mitaa fulani hapa mbeya na kwenda naye nyumba moja ya kulala wageni kwa ajili ya masuala yao ya a new device detected

Asubuhi ya leo anataka kuondoka anashangaa boxer yake haipo na walilikuwa wawili tu mle ndani na hakuna aliyeingia.

Jamaa akaomba msaada kutoka kwa wasamaria wema na baada ya   kupata kichapo hevi yule dada akaonesha ile boxer ambayo aliificha kwenye pochi yake.

Baada ya kuulizwa kwa nini anafanya hivyo?

Dada kajibu kuwa hajaolewa na kila anayetaka kumchumbia hakai muda anamwacha na kuendelea na maisha yake..... sasa binti kachoka kutumiwa akaenda kwa mganga na mganga akampa zoezi la kutafuta boxer ya kijana atakayempenda ili wafanye mambo ndoa itokee

Mpaka natoka eneo la tukio ni kwamba kijana alikuwa anaomba kuonyeshwa kanisa la karibu akamshukuru Mungu kwani kaponea kutoka kwenye  mdomo wa simba

You Might Also Like

0 comments: