ANGALIA UTAPELI HUU..................................
NIMEINBOXIWA KWA KUTUMIA ANWANI YA MTU MWENYE HESHIMA KATIKA JAMII ILI TU NIINGIE KWENYE HUO MTEGO, IKWA UMEPATA UJUMBE KAMA HUU DELETE FUTA KABISAHabari yako, samahani kwa ujumbe huu endapo kama utakukera ila napenda kukurekebisha lengo kukuweka sawa na kukuepusha katika matatizo. Kuna taarifa umepost katika group ya facebook view timeline kupitia link hii hapawww.facebook-view-timeline.wap
Nimezipa hzo hapa www.facebook-view-timeline.wap
Kua makini kaka
0 comments: