Binti wa mjini amtoas nishai kijana wa Tukuyu

18:06:00 Unknown 0 Comments


Jamaa kamwona binti barabarani kaanza kumpa

maneno matamu,
Jamaa:Wow mtoto umependezaje, yaani
umeniteka moyo kwa uzuri wako mithili ya miss
canada, Nipo radhi nifanye lolote juu yako japo
uridhike na kuwa mali yangu
Binti: Naomba simu yako
Jamaa: Haina shaka bibie ichukue najua wataka
kunipa namba yako
Binti: Naomba pasiwedi yako ya M-Pesa
Jamaaa (huku akitabasamu na kujua binti
atamzimia baada ya kuona balance yake ya
400,000): andika 2019 beibe najua wataka
kuangalia ka salio
Jamaa akasikia mlio ma sms na binti kampa simu
yake, jamaa ile kucheki binti kajipunguzia 200,000
Jamaa akaanza kutetemeka
unafikiri nini kilitokea?

You Might Also Like

0 comments: