Msomaji wa Tabasamu na Fuledi makini ila mwenye hasira aamua kuishambulia blog hii bira huruma yaani.

09:22:00 Unknown 0 Comments


Raha ya facebook bhana uwe na watu wa ukweli, ili ukiwa na majonzi wakufariji, ukiwa na huzuni wakupe furaha, ukiwa umechoka basi wakupumzishe, ukiwa mpweke wakuondolee upweke, ukiwa na stress pia waziondoe, ukiumwa tu wakupe faraja kiasi kwamba ujikute unapona kabla hata ya kumwona daktari na ukilazwa ujikute unapata nguvu ya kuingia fb, ukiwa huna imani basi unapewa imani ya kumjua mungu, ukigombana wakupatanishe na ukikata tamaa ya maisha basi wakutie moyo na kujiona alaaa kumbe bado naweza kufanikiwa, nina marafiki nawapenda sana kwa kweli. ila kuna mtu mmoja akiwa rafiki yako Fred Kihwele basi ni kama unamarafiki wote wenye kukugusa katika kila sekta ya maisha yako na ukilike page yake ya Tabasamu na Fuledi ndio balaa zaidi kwani dah!! utaenjoy, utaelimika na hata siku moja hutakasirika kwamba kuna vitu siyo vya maadili.
LikeLike ·  · 
  • Fred Kihwele Ha ha ha mweeee na mimi leo nimetajwa kwenye akaunti ya mtu mhhimu sana.... heyyyyy wondershall never end ooooooooh...... ewooooooo.... God bless you well well oooh Deo Julius
    6 mins · Like · 1
  • Deo Julius kaka ukweli ni kwamba mtu anapofanya vizuri basi lazima sifa zake apewe kwani what u doing with Tabasamu na Fuledi page is greatest, lakini kuweza kutambua hilo ni kwa wale wenye uwezo wa kuona kwa kutumia jicho la tatu Fred Kihwele
    3 mins · Like

You Might Also Like

0 comments: