Wachaga pia wamegawanyika,sio wote wajanja,kuna

21:19:00 Unknown 0 Comments


1.warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia.wameajiri wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini.

2.kuna wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna warombo,wanaume ni waoga kuliko wanawake.

3 kuna wakibosho wanafanana na warombo lakini ni wavumilivu zaidi,wanatunza pesa vizuri na wanahasira sana,ila wanamsimamo katika biashara,

4. Kuna wamachame hawa ni wezi sana,ukifanya nae dili umeliwa,niwasiri sana,anaweza kukuua huku akitabasamu,sio waaminifu sana lakini huenda kanisani mara nyingi zaidi wachaga wote.

5. Kuna wauru,hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa,wanawake wakifikisha umri wa 40 yrs hua wehu,na wanaume ni vichaa mapema zaidi,wanaume ni wavivu,wanawake wachapakazi,ukioa huko jiandae kulea kichaa,


6. kuna wakirua, wanapenda sifa kama wahaya,mwanamke wa kirua hawezi kua na mwanaume mmoja na wanaume wao hawaoi ukoo wao,wako wachache lakini watatu tu mjini mtadhani wako mia.

You Might Also Like

0 comments: