Wanafunzi darasani waliulizwa swali na mwalimu wao ''nini faida nne za maziwa ya mama?''

11:37:00 Unknown 0 Comments


Mwanafunzi mmoja wa kiume akanyoosha kidole na kujibu.
1. Huna haja ya kuyachemsha.
2. Nyau hawezi yaiba.
3. Yanapatikana anytime
4. (huku akifikiria mwanafunzi) ...ya nne ...ya nnee... Eenh 'yanapatikana kwenye kontena zinazovutia.'

You Might Also Like

0 comments: