DEREVA WA BODABODA KAVUNJIKA SHINGO
TRAFIKI: Kwa hiyo mlimkuta katika hali gani huyu kijana?
MWANANCHI: Kwa kweli tulimkuta akitapatapa akilia kwa maumivu. Kitu tulichogundua mara moja ni kuwa shingo yake iligeukia mgongoni, tukajitahidi kuizungusha mpaka ikarudi mahala pake, lakini maskini akakata roho

0 comments: