Mme wangu anataka niache kazi nibaki nyumbani

20:50:00 Unknown 0 Comments

Swali kutoka kwa rafiki wa Tabasamu na Fuledi na msomaji wa Simu ya Ajabu
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nimeolewa na nimebahatika kuwa na mtoto mmoja.
Ndoa yangu ilikuwa na furaha sana ila imegeuka na kuwa tatizo kwani mme ana wivu kiasi cha kwamba anataka aniachishe kazi nikae nyumbani.
Pia hataki niwe na simu wala kuwasiliana na watu nikae ndani tuu nilee mtoto.
Jamani naombeni ushauri wenu nifanye nini?
Nimechanganyikiwa na nahitaji msada wa mawazo
LikeLike ·  · 
  • Chadson Richard Mbigili · 12 mutual friends
    WEWE INAWEZEKANA SI MWAMINIFU UKIWA KAZIN, NA PIA JARIB KUJIJENGEA MAZINGIRA YA KUWA MUWAZI KWA MUMEO; JARIB KUMSOMA NINI ANAPENDA NA NINI HAPENDI ILI UENDANE NAE OTHERWISE UTAKUWA UNAFANYA KAZI BUREEE. NA KAMA ANAWEZA KUTOA HELA YA MATUMIZI BAKI HOME; ILA KIKUBWA ONYESHA MCHANGO WAKO KTK FAMILIA KUPITIA KAZI YAKO;
    9 hrs · Unlike · 1
  • Grace Rouben mh! umewashirkisha wazaz kama bdo jarbu kufanya ivo, huo c wivu ujinga.
    8 hrs · Unlike · 1
  • Vivian Vance Kwan hiyo kaz kakupa yeye? Hajiamin huyo pengine anafanya uchafu akidhan nawe unafanya na usikubal kuacha kaz kwan mwanaume si nduguyo mnaunganishwa na watoto tu. Chamsingi kaa na wazaz pande zote then funguka.
    8 hrs · Unlike · 2
  • Vicque Mauka Kaz sikushauri kuacha coz hujui kesho itakuwaje,, jarbu kukaa na watuwazma wenye busara muongee nao!
    8 hrs · Unlike · 1
  • Fred Kihwele Mshaurini jamani
    8 hrs · Like
  • Emmy Kessy Kaa ukijua mumeo wa kwanza ni kazi!akafu kumbuka wazazi wako wamekusomesha ili uwe msaada kwao,ikitokea mumeo akafariki hao wtt utawatunzaje?usikubali kuacha kz hakutakii mema kbx huyo m.mme asiyewaza maisha y mbeleni,hv anakuambia acha kaz anakoendea ...See More
    7 hrs · Unlike · 1
  • Pendo Cuthbeth u are dead atii uache kazi yeye ndo alikulipia ada? basi yeye malaya anaona utambamba! aseme tu aliyonayo moyoni asitafute sababu khaaaaaaaaaa! pheeeewwwwwwwwwwwww
    7 hrs · Unlike · 1
  • Fred Kihwele Mnamfanya alie
    7 hrs · Like
  • Emmy Kessy Usikubali kuacha kz angalia mbele dada kz ndo kila kitu mapenz baadaye aache ujinga vp au alikusomesha yeye!mbona hivyo huyo m.mme?du!na jazba hapa mm utazan yamenikuta mimi!wanawake tuamke sasa.
    7 hrs · Unlike · 1
  • Emmy Kessy Yaaaaan umemeliza mdau hapo juu!meonaeeeee@pendo cuthbeth
    7 hrs · Unlike · 2
  • Emmy Kessy Watu wanahangaika kila kona kutafuta kz halafu huyo .....nan cjui vile anakuzingua,we usiache kz mpnz km anakuacha akuache n wivu gan ambao hatak utumie cm?c mapenz hayo hata kidogo looooh!au itakua n lile kabila la kule nini!hv xaxa anakunyanyasa una...See More
    7 hrs · Like
  • Emmy Kessy Nina mengi sana y kukushaur coz mi cpend kuona m.mke mwenzangu ananyanyasika,pole sana kz uzi mwendo n wa kazi tu!
    7 hrs · Unlike · 1
  • Irene Ngoto Neno La Mungu Limetuamuru Wanawake Kutii Lakini Si Kila Kitu Kutii Huyo Mwanaume Anakunyanyasa Yupo Ndugu Yangu Kaachishwa Kazi Na Mumewe, Sasa Hakuishia Hapo Hata Kwenda Kumuona Mgonjwa Haruhusiwi Na Akienda Kichapo Sasa Anajuta, Sasa Best Si Kila Kitu Cha Kutii Endelea Na Kazi Tena Asikuchanganye Usikubali Kuwa Mtumwa Mwanaume Si Mtu Wa Kumwamini Hata Kidogo.Ukikubali Tu Kuacha Kazi Kwishney.
    28 mins · Like · 1

You Might Also Like

0 comments: