Mme wangu anataka niache kazi nibaki nyumbani
20:50:00
Unknown
0 Comments
20:50:00 Unknown 0 Comments
Swali kutoka kwa rafiki wa Tabasamu na Fuledi na msomaji wa Simu ya Ajabu
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nimeolewa na nimebahatika kuwa na mtoto mmoja.
Ndoa yangu ilikuwa na furaha sana ila imegeuka na kuwa tatizo kwani mme ana wivu kiasi cha kwamba anataka aniachishe kazi nikae nyumbani.
Pia hataki niwe na simu wala kuwasiliana na watu nikae ndani tuu nilee mtoto.
Jamani naombeni ushauri wenu nifanye nini?
Nimechanganyikiwa na nahitaji msada wa mawazo

Fuledi Mwagito
Nakushukuru kwa kunipa nafasi hii adimu sana ya kufurahi, kuelimika na kubadilishana mawazo. Nitafurahi sana kama utaniachia comment hapo chini ili nijue kama habari,ucheshi, simulizi na vioja vioja hivi vimekupa siku yako kuwa BOMBA. Kumbuka nawe waweza share nami chochote ulichonacho kwa kunicheki kupitia whatsapp kwa namba 0713317171 au kupitia comment. Asante.
0 comments: