Mme wangu anataka niache kazi nibaki nyumbani

11:27:00 Unknown 0 Comments

Swali kutoka kwa rafiki wa Tabasamu na Fuledi na mteja wa Karibu Mbeya

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nimeolewa na nimebahatika kuwa na mtoto mmoja.
Ndoa yangu ilikuwa na furaha sana ila imegeuka na kuwa tatizo kwani mme ana wivu kiasi cha kwamba anataka aniachishe kazi nikae nyumbani.
Pia hataki niwe na simu wala kuwasiliana na watu nikae ndani tuu nilee mtoto.
Jamani naombeni ushauri wenu nifanye nini?
Nimechanganyikiwa na nahitaji msada wa mawazo


Karibu Mbeya deals with:-
Digital advertising
Digital Media Planning & Buying
Digital PR
Facebook training for businesses
Online directory
Tel: +255 716 685 567 General information: info@karibumbeya.com User support: support@karibumbeya.com Advertising and sales: sales@ karibumbeya.comwww.facebook.com/karibumbeya www.twitter.c...
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 7

You Might Also Like

0 comments: