TUZINGATIE KUTUMIA VITU VYA ASILI JINSI IWEZEKANAVYO
08:54:00
Unknown
0 Comments
08:54:00 Unknown 0 Comments
TUZINGATIE KUTUMIA VITU VYA ASILI JINSI IWEZEKANAVYO
Habari ya asubuhi marafiki, ndugu na jamaa wa Ufahamu. Ninaendelea kuwakumbusha na kuwasisitiza kujali afya zetu ili maradhi makubwa yasitupate.
1.Tusafishe viungo vya ndani kwa kutoa sumu ambazo tunazipata kila siku.
2. Mboga za majani ni nzuri sana pia zinafanya ngozi kuwa laini
3. Olive Oil inatukinga na mengi ikiwemo kansa ya ngozi, pia inalainisha ngozi.
4. Maji ya kunywa yanasaidia mengi ikiwemo utoaji wa sumu pia ni kinga kwa maradhi. Pata maji lita 5 kwa siku.
5. Mazoezi yanasaidia kukuongezea siku kwa kuwa hutapatwa na maradhi mara kwa mara.
6. Pumzisha mwili kwa kulala mapema inaondoa stress.
Yapo mengi zaidi ya hayo. Tutaendelea kukumbushana.
Kwa wiki hizi mbili tunapatikana kwa namba
Nawatakia siku njema
Habari ya asubuhi marafiki, ndugu na jamaa wa Ufahamu. Ninaendelea kuwakumbusha na kuwasisitiza kujali afya zetu ili maradhi makubwa yasitupate.
1.Tusafishe viungo vya ndani kwa kutoa sumu ambazo tunazipata kila siku.
2. Mboga za majani ni nzuri sana pia zinafanya ngozi kuwa laini
3. Olive Oil inatukinga na mengi ikiwemo kansa ya ngozi, pia inalainisha ngozi.
4. Maji ya kunywa yanasaidia mengi ikiwemo utoaji wa sumu pia ni kinga kwa maradhi. Pata maji lita 5 kwa siku.
5. Mazoezi yanasaidia kukuongezea siku kwa kuwa hutapatwa na maradhi mara kwa mara.
6. Pumzisha mwili kwa kulala mapema inaondoa stress.
Yapo mengi zaidi ya hayo. Tutaendelea kukumbushana.
Kwa wiki hizi mbili tunapatikana kwa namba
Nawatakia siku njema
Soma kwa undani masuala yahusuyo afya kwa kuifuata link hii

Fuledi Mwagito
Nakushukuru kwa kunipa nafasi hii adimu sana ya kufurahi, kuelimika na kubadilishana mawazo. Nitafurahi sana kama utaniachia comment hapo chini ili nijue kama habari,ucheshi, simulizi na vioja vioja hivi vimekupa siku yako kuwa BOMBA. Kumbuka nawe waweza share nami chochote ulichonacho kwa kunicheki kupitia whatsapp kwa namba 0713317171 au kupitia comment. Asante.
0 comments: