kama wewe ndo huyo jamaa ungefanya nini?
jamaa mmoja alikwenda kwenye nyumba moja kuomba maji ya kunywa.ajabu akaletewa maziwa.akanywa akaomba mengine akapewa tena maziwa duu jamaa ikabidi amuulize dogo anaemletea maji
jamaa:mbona nyumba hii nikiomba maji mnanipa maziwa?
dogo:hamna maziwa ya leo yameingia panya kila mtu kayakataa
jamaa akashtuka kidogo basi glass ikadondoka ikavunjika
jamaa:mbona nyumba hii nikiomba maji mnanipa maziwa?
dogo:hamna maziwa ya leo yameingia panya kila mtu kayakataa
jamaa akashtuka kidogo basi glass ikadondoka ikavunjika
dogo akapiga kelele:mamaaa ile glass ya bibi yakutemea makohozi imevunjika!!!!
kama wewe ndo huyo jamaa ungefanya nini?
0 comments: