Unabahati leo nimetoka kula pilau
Mdada alikuwa akisafiri kwenye basi, ghafla Jamaa aliyekuwa kakaa kiti cha nyuma akamtapikiaJAMAA: Samahani dada lakini una bahati sana
MDADA: Mshenzi mkubwa umenitapikia halafu unasema nina bahati
JAMAA: Ndio leo nimetoka kula pilau, kwa kawaida saa hizi huwa nakuwa nimekunywa kangara

0 comments: