Unabahati leo nimetoka kula pilau

17:19:00 Unknown 0 Comments

Mdada alikuwa akisafiri kwenye basi, ghafla Jamaa aliyekuwa kakaa kiti cha nyuma akamtapikia
JAMAA: Samahani dada lakini una bahati sana
MDADA: Mshenzi mkubwa umenitapikia halafu unasema nina bahati
JAMAA: Ndio leo nimetoka kula pilau, kwa kawaida saa hizi huwa nakuwa nimekunywa kangara

You Might Also Like

0 comments: