''Kristo alikufa na wezi wawili, so na mimi nafanya vivyo hivyo''
Mzee mmoja alipoona ana masaa 24 kabla hajafa pale hospitali. Akaagiza Mhasibu na Mwanasheria wake waje.Mhasibu akauliza ''hapa nafanya nini?'' mzee akajibu ''nothing, we simama tu hapo hapo.''
Mwanasheria nae akauliza ''hapa nafanya nini?'' mzee akajibu ''nothing, we simama tu hapo hapo.''
Baadae wakauliza tena pale waliposimama mzee akawajibu ''Kristo alikufa na wezi wawili, so na mimi nafanya vivyo hivyo''
Illa hiyo ina funzo sababu hakuna anayeingiza pesa halali
ReplyDeletekweli kabisa Tino....Nakubaliana
ReplyDelete