Ukweli kuhusu utajiri wa ufrimasoni huu hapa

10:46:00 Unknown 0 Comments


Mambo ya Tunduma yanatisha kama sio kushangaza
Tunduma ndio sehemu pekee Tanzania kama sio Africa ambayo vijana wadogo kabisa ni matajiri wa kutisha na wengi wao hawana hata elimu ya darasa la saba.

Baada ya kufanya utafiti mdogo tu kuhusisha watu kama kumi tumegundua kuina jambo linaloendelea hapa Tunduma na Mbeya ambalo bado halijawekwa wazi watu wa Tunduma hasa vijana wanatumia nguvu za giza au uchawi kupata mali nyingi wanazomiliki.Kuna mganga maarufu hapa ambaye anafuga jogoo mkubwa sana mwenye afya ya kutosha ukitaka utajiri unaenda kwa huyu mganga halafu anabashiri siku zako za kuishi duniani zimebakia ngapi akishakupa idadi ya siku zako zilizobakia duniani anamleta jogoo wake mwenye afya tele anarusha mahindi sawasawa na idadi ya miaka yako iliyobakia duniani.

Jogoo anaruhusiwa kudonoa mahindi yale, kama miaka yako ya kuishi duniani ilibakia 10,mahindi kumi yanarushiwa jogoo,anadonoa na kula baadhi ya mahindi,akila mahindi matano ina maana utapewa utajiri na utaishi miaka mitano baada ya hapo utakufa ile miaka mitano iliyobaki utaenda kuwatumikia wakubwa waliokupa huo utajiri,kuna machimbo ya madini Congo DRC ndiko unakopelekwa tulipoulizia maisha ya huko machimboni uliambiwa kule unakunywa maji kila siku huku ukipiga kazi masaa 24.

Hiyo ndio taarifa ya Tunduma mji uliojaa vijana waliokata tamaa na kuamua kujitoa mhanga.

Hii taarifa ni ya uongo haina ukweli wowote
 

You Might Also Like

0 comments: