'nyie endeleeni ni pancha tu
Jamaa moja alikuwa anapiga chabo dirishani wakati wenye ndoa wakiwa kwenye mahaba, mara huko nje ya nyumba mwenyewe baiskeli aliyekuwa anakatiza gafla tairi la baiskeli lake liliburst na kulia puuuuu! wanandoa humo ndani ya nyumba waliposikia mlio wa kubusrt tairi wakatulia kwanza *kufanya tendo, mpiga chabodirishani akajisahau na kusema '''nyie endeleeni ni pancha tu'
0 comments: