TANGAZO TANGAZO
14:52:00
Unknown
0 Comments
14:52:00 Unknown 0 Comments
Yeyote mwenye watoto 10 atazawadiwa mil 50;
Jamaa aliposikia tangazo akamwambia mkewe, sisi tuna watoto 9. Nikwambie mke wangu, mi nina mtoto 1 nje ya ndoa, tumchukue huyo, wawe 10 tupate ml 50. Mkewe akasema poa. Jamaa akamfuata huyo mtoto. Aliporudi hakuwaona wale 9. Akamuuliza mkewe, Watoto wako wapi? akajibu, baba zao walipoona tangazo nao wamekuja kuwachukua watoto wao, Jamaa akazimia.....!!,...
Fuledi Mwagito
Nakushukuru kwa kunipa nafasi hii adimu sana ya kufurahi, kuelimika na kubadilishana mawazo. Nitafurahi sana kama utaniachia comment hapo chini ili nijue kama habari,ucheshi, simulizi na vioja vioja hivi vimekupa siku yako kuwa BOMBA. Kumbuka nawe waweza share nami chochote ulichonacho kwa kunicheki kupitia whatsapp kwa namba 0713317171 au kupitia comment. Asante.
0 comments: