Dalili za mume anayetoka nje ya ndoa:

09:40:00 Unknown 0 Comments



1) Unakuta Condom kwenye mkoba wake au kwenye gari lake 

2) Anapunguza au anaacha kabisa kuwa outing na familia yake

3) Unakuta lipstick kwenye kiti cha gari lake ambayo huifahamu

4) Ghafla anataka mjaribu aina mpya ya kufanya mapenzi

5) Anafanya kazi masaa mengi ya ziada lakini malipo hayaonekani kwenye salary slip

6) Hali au anakula kidogo sana nyumbani kwa kuwa ameshakula kwa nyumba ndogo

7) Nguo zake zinanukia manukato (Perfume)ambayo hata huyafahamu

8) Unakuta alama ya lipstick kwenye shati lake

9) Anakuwa na namba ya siri ya simu na wakati mwingine zaidi ya tatu ambazo mke hazijui

10) Anapopigiwa simu akiwa karibu na mkewe anaizima au kwenda kupokelea nje

You Might Also Like

0 comments: