DEREVA WA BODABODA KAVUNJIKA SHINGO

09:44:00 Unknown 0 Comments

Mwendesha Bodaboda aliamua kugeuza koti lake liangalie nyuma ili kukinga upepo, bahati mbaya akapata ajali mbaya ya kugonga mti, TRAFIKI akaja akawakuta watu wawili ambao walisema kuwa walikuwa wa kwanza kufika eneo la ajali;
TRAFIKI: Kwa hiyo mlimkuta katika hali gani huyu kijana?
MWANANCHI: Kwa kweli tulimkuta akitapatapa akilia kwa maumivu. Kitu tulichogundua mara moja ni kuwa shingo yake iligeukia mgongoni, tukajitahidi kuizungusha mpaka ikarudi mahala pake, lakini maskini akakata roho 

You Might Also Like

0 comments: