BONGO BWANA
15:31:00
Unknown
0 Comments
15:31:00 Unknown 0 Comments
BONGO BWANA
Zamani mtu akifeli kidato cha nne au sita moja kwa moja alienda jeshini au kujiunga na vyuo vya uali.
Sasa hivi karibuni nimeona jeshini na ualimu nako wanataka watu walio na ufaulu mzuri.
Sasa nikajiuliza hili kundi la wanaofeli linaenda wapi?
JIBU nimepata leo.
Kumekuwa na ongezeko kubwa na waandishi wa habari ambao hawajielewi nafiki ndio matokeo ya hilo kundi
Samahani ni mtazamo tu ila kama umeumia basi jua ni lako
Fuledi Mwagito
Nakushukuru kwa kunipa nafasi hii adimu sana ya kufurahi, kuelimika na kubadilishana mawazo. Nitafurahi sana kama utaniachia comment hapo chini ili nijue kama habari,ucheshi, simulizi na vioja vioja hivi vimekupa siku yako kuwa BOMBA. Kumbuka nawe waweza share nami chochote ulichonacho kwa kunicheki kupitia whatsapp kwa namba 0713317171 au kupitia comment. Asante.

0 comments: