Dah binti we wamoto sana

11:35:00 Unknown 0 Comments

DOKTA: Dah binti we wamoto sana
MDADA: Ndio wanaume wote wananiambiaga hivyohivyo teh teh teh
DOKTA: Nina maana una joto jingi nadhani una malaria hayo mengine hayanihusu pambafu

You Might Also Like

0 comments: