Ifahamu Nyumba/Jengo/Makao yenye thamani kubwa zaidi duniani

17:07:00 Unknown 0 Comments

Photo: Najua wajua, lakini kama unataka kujua zaidi. Nyumba/Jengo/Makao yenye thamani kubwa zaidi duniani ni  makazi ya familia ya kifalme ya Uingereza kwa jina maarufu kama BUCKINGHAM PALACE. Thamani yake ni dola za Kimarekani 1,560,000,000 (Zidisha mara 1,610 ili kujua ni shilingi ngapi za Kitanzania). Eneo hilo limekuwa makazi ya familia ya Kifalme ya Uingereza toka mwaka 1837 wakati wa Malkia Victoria ambaye ziwa Victoria lilipewa jina lake na wapelelezi wa Kiingereza waliofika Afrika Mashariki, Richard Francis Burton na John Hanning Speke.

Najua wajua, lakini kama unataka kujua zaidi. Nyumba/Jengo/Makao yenye thamani kubwa zaidi duniani ni makazi ya familia ya kifalme ya Uingereza kwa jina maarufu kama BUCKINGHAM PALACE. 

Thamani yake ni dola za Kimarekani 1,560,000,000 (Zidisha na  shilingi ngapi za Kitanzania). 

Eneo hilo limekuwa makazi ya familia ya Kifalme ya Uingereza toka mwaka 1837 wakati wa Malkia Victoria ambaye ziwa Victoria lilipewa jina lake na wapelelezi wa Kiingereza waliofika Afrika Mashariki, Richard Francis Burton na John Hanning Speke

You Might Also Like

0 comments: