Jihadharini na wachapaji wa kadi za harusi

13:49:00 Unknown 0 Comments

*Jihadharini na wachapaji wa kadi za harusi.* 
Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya kadi kuchapwa na kusambazwa!
*Mchapaji* aliombwa aweke 1Yohana 4:18 ktk kadi ya harusi lakini mchapaji kwa makosa aliweka Yohana 4:18.
1 Yohana 4:18 panasema, *"Katika pendo hakuna hofu, lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu..."*
Lakini Yohana 4:18 tunasoma, *"Kwa maana umekuwa na waume watano , naye uliye naye sasa siye mume wako."*

You Might Also Like

0 comments: