Kama ulikuwa hujui kuhusu yanayotokea makaburini, basi soma hii

09:58:00 Unknown 0 Comments


Makaburini ndiko sehemu tajiri kuliko sehemu yoyote ile hapa duniani. Ni sehemu pekee ambako ndoto nyingi za watu mbalimbali zimezikwa nao.
Wengi wao walikufa kabla ya kufanikisha malengo na baadhi walikufa wakiwa hawajathubutu kujaribu kutimiza ndoto zao na kujikuta wakifa wakiwa maskini.
Jambo hili linanikumbusha ule msemo kuwa " WATU WENGI HUFA WAKIWA NA MIAKA 25 NA HUJA KUZIKWA WAKIWA NA MIAKA 50 NA KUENDELEA"
Maana yake tunakufa kifo cha kwanza katika umri wa miaka 25, umri ambao kwa kawaida mtu yoyote anatakiwa kuanza kuhangaika kwa kujutuma na kwa uthubutu ili kufa kufanikiwa.
Lakini kwa kuwa tunashindwa kuchukua hatua basi kuanzia hapo tunajikuta tunaisha maisha ambayo hatukuyatarajia na hatuyapendi yaani kwa kifupi maisha yasiyoeleweka.
Jamani tujitume na kufanya uthubutu muda huu............
kama mie nimethubutu kunywa kakonyagi asubuhi hii ...

You Might Also Like

0 comments: