MAMBO AMBAYO KIJANA WA SASA UNATAKIWA KUWA MAKINI NAYO SANA.....

07:03:00 Unknown 1 Comments

MAMBO AMBAYO KIJANA WA SASA UNATAKIWA KUWA MAKINI NAYO SANA.....
1. Epuka na ujitoe kabisa kutoka katika Kundi la watu wenye mitazamo hafifu juu ya maisha yao.
2. Acha kuwa king'ang'anizi kwa wale waliokutenga katika maisha yako.
3. Kuwa mtu wa haki na upendo hata kwa watu usiowajua.
4. Kuwa mtu wa heshima na upendo kwa kila mtu.
5. Kubali kuishi na watu kwa jinsi walivyo na sio wewe utakavyo.
6. Wahamasishe wenzio kufanya mambo yenye mafanikio na furahia mafanikio yao bila unafiki.
7. Kuwa mtu wa kuaminika kwa kila ukifanyacho
.
8. Samehe watu na endelea na maisha yako bila kuwafikiria tena
.
9. Kila siku fanya kitu kidogo kizuri kwa watu wakuzungukao
.
10. Kuwa makini na mwangalifu kwa hao unaowaita marafiki
.
11. Daima kuwa mkweli
.
12. Wasialiana na kuwa karibu na watu unaowajali katika maisha
.
13. Kuwa mtu wa kitimiza ahadi zako na kuwa mkweli
.
14. Toa kitu amabo nawe unatarajia upokee
.
15. Sema unachomaanisha na maanisha unachosema
.
16. Uwe mtu wa kukubali na wengine watoe maamuzi
.
17. Ongea kidogo na kuwa makini nkatika kusikiliza
18. Usiwe mtu wa mabishano kila mara yasiyo na tija
.
19. Achana na umbea au maneno yanayoweza kuja kukunyima furaha
.
20. Uwe makini na mahusiano yako mwenyewe na mahusiano yako na MUNGU

You Might Also Like

1 comment:

  1. Ubarikiwe sana sana ndugu kwa maarifa haya na Mungu azidi kukuongeza maarifa mengine

    ReplyDelete