Aaaahaa hii kondom, nimenunua njiani

15:22:00 Unknown 0 Comments

Jamaa kafumaniwa na mke wa mtu, akashushiwa kipigo cha haja, lakini akaweza kutoroka na kutimka bila nguo moja kwa moja mpaka kwake;

MKE: He jamani kunani? Mbona hivyo?

MUME: Majambazi mke wangu, wamenikamata hapahapo wakaninyang'anya kila kitu mpaka nguo halafu wakanipiga sana

MKE: Naona halafu wakakuvalisha condom

MUME: Aaaahaa hii kondom, nimenunua njiani nijisitiri baada ya kuona yaani niko mtupu kabisa

You Might Also Like

0 comments: