Hapo lazima uzimie
Muha mmoja alikamatwa na Polisi wakati wa Operesheni Kimbunga huko maeneo ya Manyovu.
Akaulizwa....... ''wewe ni mTanzania?, akajibu: '' ndio.''
Polisi akamwambia, unaweza kuimba wimbo wa taifa? Akajibu: ''ndio.''
Polisi: haya imba.......
Akaanza: '' KIGOOMAA AEE KIGOMAA EE! LEKA TUTIGITE WISHAVU AMENEKEE!!''
Polisi chali.......
wow dats crazy
ReplyDelete