MAPENZI YA FACEBOOK

23:09:00 Unknown 0 Comments

MAPENZI YA FACEBOOK

DAY 1-Mamboo

DAY 2-Mambo Dear.

DAY 3-Umeamkaje Baby

DAY 4-Babe kuna kitu ntakuomba

DAY 5-Baby can you help me with 200,000,nna shida ntakurudishia kabla ya Ijumaa.Mwanafunzi huyo,na hamjawahi kuonana...Laki 2,airudishe ndani ya mwezi,hata UPATU haizai fasta hivi..Ukijitusu umeumia.Unauchuna

DAY 6-Babe ulipata meseji yangu?Unapiga kimya

DAY 7 Nishagundua we Mwanaume suruali,hata laki 2 huna...We unayo??Ulidhani Mi Mwanaume Sketi?? Mnaonana humu, Mnapendana humu,Mnaachana humuhumu,tena kwa Kashfa.. Yeu bora urudi tu,maana watoto wetu hawana wa kuwalea, wanaume na wanawake wote akili kushney

Natabiri kabla ya kesho wale Vilaza watakuwa washakopi bila kutoa hii

You Might Also Like

0 comments: