MAPENZI YA FACEBOOK
MAPENZI YA FACEBOOKDAY 1-Mamboo
DAY 2-Mambo Dear.
DAY 3-Umeamkaje Baby
DAY 4-Babe kuna kitu ntakuomba
DAY 5-Baby can you help me with 200,000,nna shida ntakurudishia kabla ya Ijumaa.Mwanafunzi huyo,na hamjawahi kuonana...Laki 2,airudishe ndani ya mwezi,hata UPATU haizai fasta hivi..Ukijitusu umeumia.Unauchuna
DAY 6-Babe ulipata meseji yangu?Unapiga kimya
DAY 7 Nishagundua we Mwanaume suruali,hata laki 2 huna...We unayo??Ulidhani Mi Mwanaume Sketi?? Mnaonana humu, Mnapendana humu,Mnaachana humuhumu,tena kwa Kashfa.. Yeu bora urudi tu,maana watoto wetu hawana wa kuwalea, wanaume na wanawake wote akili kushney
Natabiri kabla ya kesho wale Vilaza watakuwa washakopi bila kutoa hii
0 comments: