ETI NI KWELI KUWA HAYA NDIO MAKOSA WAYAFANYAYO WANAUME WALIOOA....?

05:07:00 Unknown 0 Comments

1- Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi

You Might Also Like

0 comments: