Huyu mme sijui alijua wakati anajibu hili swali anaweza kuhatarisha ndoa yake?

17:19:00 Unknown 0 Comments

Jacque: Baba watoto, nipe tofauti kati ya UJASIRI NA SIRI.
Morgan: Nimekuoa wewe, huo ni UJASIRI. Yule rafiki yako mwenye saluni MAFYATI ni mpenzi wangu pia, hiyo ni SIRI.

You Might Also Like

0 comments: