Mambo niliyojifunza na wewe hutakiwi kuyakwepa

14:01:00 Unknown 0 Comments

Mambo niliyojifunza

Nimejifunza kwamba pamoja na mambo yalivyo magumu, au jinsi unavyoumizwa ila Maisha yanaendelea na kesho yaweza kuwa bora kwako.

Nimejifunza ni jinsi gani mtu anaweza kukazana kuongelea mambo na matatizo ya wenzie na kujisahau kuwa naye ni mzigo kwa watu.

Nimejifunza ya kuwa pamoja na kuwa na mahusiano mabaya au mazuri na wale tuwapendao hasa wazazi, siku wasipokuwepo hapa duniani utawakumbuka na kutambua michango yao kwako, hivyo wapende wakiwa hai.

Nimejifunza ya kuwa mahangaiko ya kutengeneza Maisha ni tofauti na kuishi, hivyo watakiwa ukumbuke unatakiwa kuishi.

Nimejifunza ya kuwa Maisha hukupa mtu nafasi ya pili ya kujaribu baada ya kushindwa ile ya kwanza.

Nimejifunza hutakiwi kujiingiza katika mambo mbalimbali ukiwa mzima mzima, hivyo tukumbuke kina cha maji hakipimwi kwa miguu miwili.

Niimejifunza ukiamua jambo kwa moyo wako wote basi matokeo yake huwa mazuri na ya kuuridhisha moyo wako.

Nimejifunza ya kuwa pamoja na maumivu ya dunia hii sitakiwi kuwatangazia walimwengu wajue mapito yangu.

Nimejifunza kuwa ni rahisi kupata marafiki wapya lakini ni vigumu kuishi na marafiki zako wote.
.
Nimejifunza kuwa bado nina safari ndefu ya kujifunza mambo mengi maishani.

Nimejifunza kuwa ukifanikiwa kuisoma post hii na kisha kulike Karibu Mbeya​ basi utanifanya nifurahi.



Posted by Fred Kihwele · 39 mins · 
MUHIMU KWA VIJANA WENZANGU.!
Wengi itakuwa bado miaka miwili, mitatu au minne kabla ya kutimiza miaka 30. Natambua kuwa kuna waliokwisha fikisha na kuna uwezekano kuna walio nyuma kidogo.
Kama katika umri tulionao sasa kuna mtu anakuambia wewe bado ni mdogo/mtoto, basi huyo mtu hakupendi na anakulemaza kiakili. Kua! Acha utoto! Mambo yafuatayo kwa vigezo vya kibinadamu mwenye akili timamu, mtu mwerevu lazima uwe ushayatimiza.
...Continue Reading
Like ·  ·  · 6116
Posted by Fred Kihwele · 1 hr · 
Amenifuta Machozi DVD Launch
Edna Kuja Amenifuta Machozi DVD Launch Save the date Sunday May 3rd, 2015 @ 15HRS Ubungo Plaza - Blue Pearl Hotel Free Entrance PLAN NOT TO MISS!
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 14
Posted by Fred Kihwele · 1 hr · 
Je unahitaji projector kwa bei nafuu?
EPSON PROJECTOR !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ZAWADI TECHNOLOGY LTD MSIMBAZI NA MAGILA STREET OPP:SIMBA SPORTS CLUB MOBLIE:+255-715606060 TEL:+255-22-2185081 EMAIL:zawadit@gmail.com DAR ES SALAA...
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 39
Posted by Fred Kihwele · 20 hrs · 
Vijana wanne ambao walihitimu chuo kimoja miaka kadhaa iliyopita waliamua kufunga safari na kwenda kumtembelea profesa wao hasa baada ya kujijenga kisawasawa katika kazi zao ambazo walikuwa wakizitumikiwa.
Baada ya kufika kwa profesa, wakiwa katikati ya mazungumzo mara kila mmoja akajikuta akitumia nafasi hiyo kutoa malalamiko yake juu ya stress za kazi na masisha kwa ujumla.
Profesa akataka kuwapa wageni wake kahawa ili mazungumzo yaendele, hivyo akanyanyuka na kwenda jikon...
See More
Like ·  ·  · 151
Posted by Fred Kihwele · 22 hrs · 
Siku moja nilikuwa katika hoteli moja maeneo ya uswahilini hapa mbeya.Kuna mende mmoja mkubwa akaruka kutoka kusikojulikana na kumrukia binti mmoja.
Ghafla yule binti akaanza kurukaruka na kupiga kelele za hofu zenye kuashiria kuwa alihitaji msaada.
Jitihada zake za kumtoa yule memde ziliendelea huku akiwa anatetemeka na kuirusha mikono yake na kujipukuta kwa muda.
...See More
Like ·  ·  · 1663
Posted by Fred Kihwele · 23 hrs · 
Women resolution 2015
We are now in the third month of the year ,How far are you with your 2015 resolution
Are you facing challenges in growing your business? Would you benefit from peer support and the insights and experiences of successful women?
A call is now being issued to ambitious women who would love to participate in Women resolution 2015 event .
Women resolution 2015 We are now in the third month of the year ,How far are you with your 2015 resolution Are you facing challenges in growing your business? Would you benefit from peer sup...
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 65
Jinsi ya kujipatia tiketi mapema
We specialise in Domestic Air Flight Ticket Booking, International Flight Booking Services like Affordable Airline Ticketing, Business Class Airline Ticketing, First Class Airline Ticketing,...
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 1118
Tunadili na computer repair and maintenance tunabadilisha window na kufanya instillation. Pia Graphics tunatengeneza picha za kawaida pamoja na picha za matangazo, mabango, logo, vipeperushi na business card. Pia tunatengeze na kuhariri video
Tunadili na computer repair and maintenance tunabadilisha window na kufanya instillation. Pia...
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 4
Posted by Fred Kihwele · March 17 at 7:33pm · Edited · 
Kijana Martin baada ya kuhitimu chuo alitafuta kazi kwa muda wa miaka kadhaa bila mafanikio na kuamua kufanya kazi ya Tax kama dereva tax ili aweze kujipatia chakula cha yeye na mkewe ambaye pia hakuwa na kazi na pamoja na hela ya pango.
Siku moja alimpata abiria kutoka airport na kumpeleka hotel moja ya kitalii. Baada ya kurudi kituoni kwake akagundua kuwa yule mama alisahau mkoba wake wenye fedha na baadhi ya hati zake za kusafiria.
Martin akachukua simu na kutafuta mawasil...
See More
Like ·  ·  · 18121
MAMBO KUMI YA KUZINGATIA WAKATI WA KUANZISHA BIASHARA
1) Fanya unalopenda
Unaweza kutenga muda mwingi na nguvu kwa dhumuni la kuanzisha biashara na kuitengeneza biashara iwe yenye mafanikio makubwa, hivyo ni muhimu sana kufanya jambo unaliolifurahia na kulipenda sana ikiwa ni uvuvi, ujenzi, ufugaji wa kuku, utalii na usafiri, mkahawa, ufinyanzi au kutoa ushauri wa kifedha.
...Continue Reading
Like ·  ·  · 72
Posted by Fred Kihwele · March 17 at 3:54pm · Edited · 
Unangoja nini?
Tumia muda huu kuintangaza biashara yako kupitiawww.karibumbeya.com na uungane na mamia ya wafanyabiashara na wateja kupitia mtandao huu.
...See More
Karibu mbeya is a leading mbeya’s online site which provides you an opportunity to get several goods and services being available here in Mbeya and other neighboring places. Read more
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 132
ST.JOSEPHINE COLLEGE MBEYA CITY
Chuo cha nursing mwaka mmoja kimefunguliwa ndani ya eneo la nanenane karibu na jingo la VETA
Chuo kitaanza mapema January ,2015.
Tarehe ya kufunguliwa utapata katika fomu zetu.
SIFA...
See More
TANGAZO TANGAZO ST.JOSEPHINE COLLEGE MBEYA CITY Chuo cha nursing mwaka mmoja kimefunguliwa ndani ya eneo la nanenane karibu na jingo la VETA Chuo kitaanza mapema January ,2015. Tarehe ya kuf...
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 213
Mayai ya Kware yanapatikana kwa beei nafuu, wahi sasa
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 15151
PAMBANO LA NGUMI LA KIMATAIFA KUFANYIKA MJINI NJOMBE MARCH 21 2015.
Ni pambano la kimataifa la Ngumi ambalo limepewa baraka na Chama cha Ngumi nchini TANZANIA PROFESSION BOXING COMMISSION[TPBC]...
KARIBUMBEYA.COM
Like ·  ·  · 313
Dondoo 12 za kukufanya uendelee kuwa jasiri kwenye hali hatarishi inayoweza kukuharibia mambo yako
1. Kamwe usijibu au kumjibu mtu ukiwa na hasira, ni vyema ukigundua una hasira ujaribu kuvumilia mpaka hasira ziishe kwani unaweza jikuta uko katika hali mbaya zaidi.
2. Jaribu kuongea chanya na marafiki watakao kupa ujasiri
...See More

You Might Also Like

0 comments: