kanjibai feki ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Kuna mzungu mmoja alikuja nchini kikazi,sasa ili japo aweanapiga story na mswahili ikampasa kuanza kujifunza
kiswahili.
Baada ya mafunzo mafupi akakalili maneno matatu katika
salamu(Jambo,salama,safi sana)
Siku moja asubuhi akakutana na dada mmoja
aliyefiwa,maongezi yao yakawa hivi:
Mzungu:dada Jambo?
Dada:Sijambo!
Mzungu:Salama?
Dada:Siyo salama nimefiwa.
Mzungu:Safi sana!!!!!

0 comments: